Romelu Lukaku Nje Michezo Miwili

Mshambuliaji wa kimataifa wa Ubelgiji Romelu Lukaku atakosa michezo miwlili ya kimataifa ya mashindano ya UEFA National League kutokana na majeraha ya enka ambayo aliyapata kwenye mchezo dhidi ya Uholanzi.

Romelu Lukaku atakosekana kwenye mchezo wa jumatano dhidi ya Poland na pia hatacheza kwenye mchezo wa jumamosi dhidi ya Wales, kocha wa timu hiyo Martinez alisema “Lukaku amepata majeraha kwenye mchezo  tuliopoteza 4-1 dhidi ya Orange wiki iliyopita jijini Brussels.”

Romelu Lukaku

Pia aliongezea kuwa mshmabuliaji huyo wa Chelsea hakupata majeraha mabaya sana kama ilivyodhaniwa, lakini lukaku anatarajia atakosa mchezo wa wa June 14 dhidi ya Poland.

“Kuna nafasi ndogo sana ambayo inaweza kumfanya kuwepo kwenye mchezo wa mwisho,” alisema Martinez


SHINDA SAMSUNG A32 NA AVIATOR

SHINDA Samsung A32 ukiwa na mchezo wa Aviator kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet! Kwea pipa ukusanye zawadi zako pamoja na ushindi mnono wa mkwanja!

kasa wa njano, Kasa wa Njano Awapa Ubingwa wa CL Liverpool., Meridianbet

SOMA ZAIDI HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.