Coman - Najua Jinsi ya Kumdhibiti Mbappe.

Kingsley Coman amesema atawashauri wachezaji wenzake wa Bayern Munich namna ya kumzuia nyota wa Paris Saint-Germain Kylian Mbappe siku ya fainali ya Champions League.

Mbappe alikuwa akisumbuliwa na jeraha la kifundo cha mguu alililopata katika fainali ya Coupe de France dhidi ya Saint-Etienne lakini kwa sasa anaonekana yupo fit kuwakabili wababe wa Ujerumani Bayern Munich.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 mchezaji mwenzake na Coman katika timu ya taifa ya Ufaransa aliiokoa PSG dakika za majaeruhi dhidi ya Atalanta akitokea benchi na kuchangia katika magoli yaliyoipa ushindi na kufuzu kucheza nusu fainali iliyowakutanisha na RB Leipzig siku ya Jumanne na PSG ilipata ushindi wa 3-0 na kuwaondosha Leipzig.

Bayern walimzuia Lionel Messi kwenye mchezo wa robo fainali ambao uliwakutanisha Bayern Munich na FC Barcelona mchezo uliyomalizika kwa Barcelona kula kichapo cha historia 8-2 na Coman amepanga kusaidia timu yake katika kumkabili Mbappe asilete madhara katika dimba la Estadio da Luz siku ya Jumapili.

“Nimecheza naye mara kadhaa, kwa hiyo nitajaribu kutoa ushauri kwa wachezaji wenzangu namna ya kumdhibiti,” Coman alikuwa akimuongelea Mbappe.

“Pia kuna video na maelekezo ya mwalimu .katika hili, tutajaribu kumzuia ni mshambuliaji ambaye analeta madhara kama ukimruhusu kuipita safu ya ulinzi,kama tulivyo mchezea messi tunapaswa kumzuia na Mbappe.

Wakati Mbappe alikuwa sehemu ya timu ya taifa ya Ufaransa iliyo shinda kombe la dunia mwaka 2018 nchini Urusi, Coman hakuwepo katika kikosi kutokana na majeraha.

Winga huyo wa Bayern amesema hiyo ilisha pita na haiwezi kuleta hamasa yoyote kufikia mafaniko katika Champions League.

“Bado ningependa kushinda kombe la dunia lakini kwa sasa nipo na klabu yangu nataka kushinda Champions League na natumaini tuta beba taji siku ya Jumapili.” alisema Coman.


Drops and Wins!

Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.

Soma zaidi ucheze

32 Komentara

    Sidhani Kama utaweza kumdhibiti.Mbapee ni level nyingine

    Jibu

    Bayern kweli wamejipanga dhidi ya mashambulizi kwa PSG haswa wakiangalia ambao wako vizuri kwenye timu pinzani na tukiangalia vizuri kuwa mbappe yuko vizuri sana lakini sio kiafya zaidi mana hajakaa mda mrefu kwenye matibabu yake neymaar hatujajua kama atashiriki kwenye mchezo au laah hivyo PSG wananafasi ndogo sana kushinda kwenye mchezo huo.

    Jibu

    Daaaa!!! jamani wesha anza kuwaundia zengwe #Meridianbettz

    Jibu

    Wataweza kweli kumdhibit mbappe maana ni Moto wa kuotea mbali#Meridianbettz

    Jibu

    Maoni:wasije wakajisahau kuwa kuna mchezaji atari zaid neymar

    Jibu

    hahaha aangalie tu wasije wakadhibitiwa wao

    Jibu

    Bayern much vs PSG hili gemu litakua si la mchezo ukiangalia mbappe ndoto yake yote kuipelekea timu yake kuchukua ushindi

    Jibu

    Kila kitu kinawezekana juhudi tu!

    Jibu

    Bayern hawawezi kumdhibiti mbappe dogo kiwango kingine

    Jibu

    Asante kwa taarifa @meridianbettz

    Jibu

    kila kitu kinawezekana juhudi tu#meridianbettz

    Jibu

    bayern wajitume sana katika kunyakua kombe nafasi wanayo nzuri tu

    Jibu

    Hakuna kinacho shindikan chin ya jua kikubwa Iman na kijituma tyuuuuu

    Jibu

    Wananzengo awakosekani

    Jibu

    Watanzaje kumzibiti mbappee kwamfano mbappee akiwa uwanjani akoseagi kitu wafanye kaz kweli hapo

    Jibu

    Mbappe ni moto wa kuotea mbali wasijipe moyo hivyo waandae mbinu za kumkabili

    Jibu

    Mbappe ni mchezaji mahili pia timu ya PSG imejipanga kisawasawa

    Jibu

    Jitaid kwa hilo

    Jibu

    Tangu apate majeraha Mbappe hajacheza kwa kiwango chake nadhani haitakuwa kazi kubwa kwa Bayern kumuzuia#meridianbettz

    Jibu

    Kylian Mbappe yuko vizuri coman na wenzie wajipange ile ile.

    Jibu

    Sina uhakika na hilo

    Jibu

    Sina uhakika nahilo

    Jibu

    Watafanya jambo la mana kumkaba mbappe,mana wakizubaa tu wamekisha.

    Jibu

    PSG wajipange maaana Bayern Munich sio watu wazur wako vzur sana na wamejipanga kila upande

    Jibu

    Koman unakosea psg sio mbape utafeli vibaya final hii

    Jibu

    Bayern wako vizuri pia PSG wapo vizuri sijui karata yangu niitupe wapi! Nikiangalia safu ya ushambuliaji timu zote zipo vizuri Ila kwenye safu ya ulinzi mmmh! Lakini historia inasema walishakutana mara nane na PSG wameshinda mara tano uku Bayern wakishinda mara tatu. Ngoja tuone je wataweza kumdhibiti Mbappe?

    Jibu

    Dk90 zitaongea.

    Jibu

    Kudefence must be him

    Jibu

    Mbappe hawezi kudhibitiwa kirahisi hivyo

    Jibu

    Ngoja tuone matokeo

    Jibu

    Mpr dk 90 ngoj tuone

    Jibu

    Maneno tyuu hayo ngoja tujionee wenyewe mashabiki

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.