Mshambuliaji wa Bayern Munich Robert Lewandowski anaamini kwamba alikuwa anastahili kushinda tuzo ya Ballon d’Or kama tuzo hizo zisingeondolewa mwaka 2020.
Chama cha mpira Ufaransa kilithibitisha mwezi Julai kwamba hakutokuwepo kwa ugawaji wa tuzo hizo kutokana na kuingiliwa kwa msimu 2019-20 kufuatia kuzuka kwa janga la virusi vya Corona.
Lewandowski alikuwa na msimu mzuri sana kwa kufanikiwa kufunga magoli 55 katika mashindano yote na kuisaidia Bayern Kutwa mataji makubwa matatu ndani ya msimu mmoja kwa mara ya pili, mataji hayo ni Bundesliga, DFB-Pokal na Champions League.
Lewandowski mwenye umri wa miaka 32 alisisitiza Ballon d’Or ilikuwa kwenye akili yake msimu huu na amesema alikuwa akistahili kupata tuzo hiyo.

“Sikufikiria haya yote, nilikuwa najua bado kuna Champions League, pia Bundesliga ilikuwa haijafika mwisho,” aliiambia Onet and Przeglad Sportowy pale alipoulizwa maoni yake kuhusu kuondolewa kwa tuzo hizo.
Alipoulizwa ni mchezaji gani angependa kuona anapata tuzo hiyo, alijibu: “Mimi mwenyewe, tumeshinda kila kitu, nimeshinda mfungaji bora katika kila mashindano nadhani mchezaji aliyepata mafanikio kama haya alikuwa akistahili tuzo ya Ballon d’Or.”
Bayern Munich ilishinda 1-0 dhidi ya Paris Saint-Germain katika fainali ya Champions League na kuona Lewandowski akishinda kombe hilo kwa mara ya kwanza katika soka lake kitu alicho kiri kuwa ilikuwa ni ndoto yake tangu alipokuwa mdogo.

“Nakumbuka baada ya mchezo kumalizika mke wangu alinitumia video ya wapendwa wangu wakilia kwa furaha. Kilikuwa ni kitu fulani adimu sana ilifanya nipate hisia kali na kukumbuka miaka mingi iliyopita.
Wakati akiwa hana mpango wa kustaafu mapema moja ya malengo aliyobakisha Lewandowski ni kuleta furaha katika taifa lake la Poland katika hatua ya kimataifa.
“Hamu yangu ni kuhakikisha nina peleka furaha kwa washabiki wa timu ya taifa hapo nitakuwa nimeridhika kusherekea ubingwa wa Dunia.
Beti Mbio za Mbwa Mubashara
Hii ni rahisi zaidi! Hapa USHINDI unaupata kwa kuchagua mbwa anayeshinda mbio na machaguo mengine yenye odds tamu.


magdalena
kabisa alikuwa anastahili maana kafanya juhudi kubwa sana
Lydia Emmanuel Magoti
Nikweli yupo sahii
Mwajumah
Yupo sahihi#Meridianbettz
JULIANA
Asante kwataharifa
Samiah
Gud news
Caroline
Haikua riziki.Lewandowski kaa kwa kutulia…
Adelta
Anastahili kupewa hongera@meridianbettz
Hope mwaikuka
Huna budi kukubaliana na janga lililotea 1day yes usikate tamaa
Sauda
Sahihi kabisa
Fatina mfingi
Yupo sahii
Dorophina
Lewandowiksi amestahili kupata hiyo tunzo ya ballon
Tatu
Kweli anastahili
Nasra
Anastahili pongezi
jullie
safi sana
Mwanahamisi
Yupo sahihi
Furahav
Nikweli yuko sahii.
Sadick
Amepata mafanikio makubwa nilitarajia angepata tuzo hii ya heshima kama isingefutwa#meridianbettz
Issa
Ni kweli ilikuwa zamu ya lewandoski
Genia Sikaluzwe
Ni sahihi kabisa
Amiri Kayera
Ukwer bila Corona tuz hii alistahili
Rose kapinga
Corona imekuharibia shughulii!!!
Ester jackson
Yuko sahihi kabisa mana msimu huu umekuwa tofauti kabisa. Wachezaji tusiotarajia ndio ambao wamepata tunzo hivyo kama isingekuwa corona angepata ballon d’or Lewandowsk
Njiku
Ni kweli kabisa alistahili kupata tuzu hiyo na wameifuta kwa sababu zao tu
Latifa juma mohamed
Ni kweli yupo sahihi.
Frank P
All the best kwenye kuifikia ndoto yake
rama
kweli kabisa ameonyesha kiwango bora sana lewandowski
felister
ilikua zamu yake
Povel
Alistail kupew tuzo ya heshimah Kama vngekuwepo ila covid 19 imeharibu mambo yote msimu huu
Devotha
Yupo sahihi kabisa
Rehema
Gud news
farida ahmadi
Kweli kabisah asemavyo lewandowsk
Sabrina
Ajitahidi msimu ujao
Saupha mohamed
Makala safii
Asia Abdy
Kwel kabsa
Janeflora malisa
Corona ttz
Zeiyana
Big up sana lewandowsk kila kitu kinawezekana tu kama ukiamua hii imetupa hamasa mashabiki wa bayern munch tuna subiri kuyaona mengi mazuri clabuni hapo
warda
Wala hakustahil basi tu Anajipa matumaini
Tahiya
Hakika alistahili
aisha
Lewandosk kwa perfomance alioionyesha msimu huu hamn kipingamiz balion dor angebeba
David Pere
Alistail kupew tuzo ya heshimah Kama vngekuwepo ila covid 19 imeharibu mambo yote msimu huu
Gabriel
Lewandowski amefanya vzur sana