Tottenham Yakamilisha Usajili wa Doherty.

Tottenham wamefanikiwa kukamilisha dili ya usajili wa beki wa kulia Matt Doherty kutokea Wolves kwa ada ya uhamisho inayoripotiwa kufika £14.7m.

Spurs wamethibitisha hilo siku ya Jumapili kwamba usajili huo ni wa muda wa miaka minne na Doherty ata vaa jezi namba mbili.

Mchezaji huyo kutoka Jamuhuri ya Ireland Doherty amecheza michezo 50 katika mashindano yote na kwa upande wa Premier League msimu uliyopita alifunga magoli saba.

Tottenham imewalazimu kumnunua beki huyo wa upande kulia baada ya kumuuza Kyle Walker-Peters kwenda Southampton huku dalili zikionesha huenda Serge Aurier akaondoka klabuni hapo.

Doherty amekuwepo Wolves kwa kipindi cha miaka 10, pia alishaichezea timu hiyo katika Championship na League one.

ujio wake umeongeza idadi usajili wa Spurs wakati wa dirisha hili la usajili baada ya kuwanasa kiungo Pierre-Emile Hojbjerg na golikipa Joe Hart.

Tottenham watawaalika Everton katika mchezo wa ufunguzi katika Premier League mchezo huo utapigwa tarehe 12 mwezi ujao, majira ya 17:00 saa za Africa Mashariki.


Beti Mbio za Mbwa Mubashara

Hii ni rahisi zaidi! Hapa USHINDI unaupata kwa kuchagua mbwa anayeshinda mbio na machaguo mengine yenye odds tamu.

Cheza Hapa

57 Komentara

    Habar njema kwa mashabik wa spurs kila la kheri

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Habari nzuri kwamashabiki Tottenham

    Jibu

    Habari njema sana

    Jibu

    Habari njema Sana kwa mashabiki wa totenham

    Jibu

    Habari nzuri kwa mashabiki wa tottenham

    Jibu

    safi sana usajiri mzuri huu tottenham

    Jibu

    Safii sana

    Jibu

    karibu spurs Doherty

    Jibu

    Hongera Matt Doherty. Wakati Pochettino akiwa Kocha wa Tottenham ilionekana na wachezaji wengi wenye vipaji vingi na baada ya kuja Mourinho inaonekana kama vile haikuwa na wachezaji wanatakiwa kusajiriwa upya karibia wote. Kuna haja Mourinho kubadili namna yake ya kuongoza timu awe mwalimu zaidi kuliko kufikiria kusajiri kila leo#meridianbettz

    Jibu

    Safii ni beki mzuri sana!!!

    Jibu

    Hapa nampa Mourinho Big up kwa kumnyakua Doherty sababu anafahamu zaidi mpira wa pale uingereza hivyo kuingeza uimara katika kikosi chake, Harry Kane na wengine watakuwa na kazi moja tuu kucheka na nyavu, Naiona Spurs ikirudi kwenye chat

    Jibu

    Usajil huko vzur sana

    Jibu

    Inapendeza

    Jibu

    Usajili mzuri Ila Jose anaitaji kusajili zaidi ili apate timu bora

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Habari njema kwa mashabiki wa spur Kila la kheri#Meridianbettz

    Jibu

    Inapendeza sana

    Jibu

    Habari njema.

    Jibu

    Inapendeza sana

    Jibu

    Hongera sana Matt nenda kaitumikie spurs

    Jibu

    Kwa usajiri huu wanao fanya Tottenham inawapa molali mashabiki..!mourihno ataki kurudia makosa tena

    Jibu

    Habari njema sana karibu spurs

    Jibu

    Habari njema kwa mashabiki wa spurs kila lakheri Doherty

    Jibu

    habar njema

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Usajili umekaa powa sana

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Safii

    Jibu

    Totenham safi

    Jibu

    Good

    Jibu

    Tottenham wapo vizuri

    Jibu

    Usajir mzur wa kuimalisha kikosi chao

    Jibu

    Good@meridianbettz

    Jibu

    Nice news kwa mashabiki wa spurs.

    Jibu

    Hbr njm

    Jibu

    Pongezi sana kocha Mourinho kwa usajili huu

    Jibu

    Pongezi kwao tunasubiri kuona matunda ya usajili

    Jibu

    Habari njema Sana kwetu

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    hongera yao

    Jibu

    Usajili mzuri

    Jibu

    Hongera mmejipanga msimu huu utakua poa sana#meridianbett

    Jibu

    safi sana spurs usajili umetulia

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Dohety bonge la mchezaji

    Jibu

    Safi sana spurs

    Jibu

    Nice

    Jibu

    pongezi sana kocha mourinho

    Jibu

    Tottenham wapo vizuri

    Jibu

    nice

    Jibu

    Imekaa poa.

    Jibu

    Habari nzuri kwamashabiki Tottenham

    Jibu

    kumnyakua Doherty sababu anafahamu zaidi mpira wa pale uingereza hivyo kuingeza uimara katika kikosi chake, Harry Kane na wengine watakuwa na kazi moja tuu kucheka na nyavu, Naiona Spurs ikirudi kwenye chat

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.