Koulibaly na Milik Wataondoka Napoli kama Dau Likiwa Nono.

Koulibaly amekuwa akihusishwa na kuhamia katika klabu ya Manchester City, wakati Roma wanaripotiwa kuwa mstari wa mbele katika mbio za kuwania saini ya Milik.

Akiongea siku ya Jumatano, De Laurentiis alisema kuwa wawili hao wataondoka Napoli kama vilabu vitaweka dau zuri.

“Koulibaly na Milik wote wanaondoka, kwa ruhusu ya soko,” aliiambia Canale 21.

“Kwa hiyo, kama soko likiwaruhusu wachezaji hawa wenye vipaji vikubwa kuondoka, tutajua jinsi gani tupate mbadala wao.

“Vinginevyo, tutawaongela mwaka ujao.”

Koulibaly, mwenye umri wa miaka 29 amekuwa ni moja ya mabeki bora wa kati Ulaya tangu atue Napoli akitokea Genk mwaka 2014.

Mchezaji huyo wa kimataifa kutoka Senegal anamkataba mpaka mwaka 2023, lakini amekuwa akihisishwa kuhamia City kwa dau la (€65m) sawa na £57.7m

Wakati huohuo Milik ametumia misimu minne akiwa Napoli na kutupia wavuni mabao 14 katika michezo 35 kwenye mashindano yote mwaka 2019-20.

“Lakini kwa namna fulani kijana hataki kusikia chochote zaidi alitaka kwenda Milan.”


SHINDA NA HI LO

Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.

Cheza sasa

39 Komentara

    kijana nenda penye donge nono maana mkwanja ndo mpango mzima

    Jibu

    Wapo kimaslahi zaidi

    Jibu

    Milik akitua Roma itakuwa bonge la usajili na atawasaidia sana Roma

    Jibu

    Hii ni habari njema

    Jibu

    kikubwa angalia nini moyo wako unataka

    Jibu

    Vizuri Sana kwalicho kiongea wao wanaangalia pesa tuu kwao wakiona semu inawavutia napesa nayo hipo vizuri wanachapa lapa tuu

    Jibu

    Habari nzuri kwake
    @meridianbettz

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Vizur

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Habari njema#Meridianbettz

    Jibu

    safii kabisa nenda mahali dau litakuwa nono

    Jibu

    Wote wakienda millan itakuwa poa sana

    Jibu

    Masilahi muhimu

    Jibu

    Hapo mchawi pesa tu angalia masirahi

    Jibu

    Unapata wewe nenda ilimradi tu timu isonge mbele#meridianbett

    Jibu

    Team zinashindwa kumnunua kwa pesa nying sababu ya umli wake umeend

    Jibu

    Hatari sana.

    Jibu

    Kikosi cha man city kimekua hot

    Jibu

    Pesa ndio mpango mzima#meridianbettz

    Jibu

    Kama dau litaruhusu waende tu wakaangalie upepo

    Jibu

    Pesa ndio mpango mzima

    Jibu

    Wachezaj muhimu Sana ndani ya fc Napoli kuwatoa lazima ujiapange

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Kwa Kulibally Napoli wachukue hela tu miaka 29 na height yake ile kasi inaenda kupungua watajilaumu

    Jibu

    Team zinashindw kueka mizg kutokan na umli wa calidou kuwa mkubwa

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Pesa ndio kila kitu!!!

    Jibu

    Mambo yote yanawezena kukiwa na pesa

    Jibu

    Napoli wana tamaa koulibaly ni beki wa kawaida Sana.

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Maamuzi ni yao

    Jibu

    Uwamuzi niwao

    Jibu

    Gud

    Jibu

    Kama Koulibaly ataondoka Napoli ina maana Gattuso atakuwa na kazi kubwa kuirejesha top ili hatimaye icheze Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu wa 2021/2022. Mmiliki wa Napoli amekuwa akizungumuzia sana hili kutokana ukata unaoikumba Klabu kwa sasa#meridianbettz

    Jibu

    Milik akitua Roma itakuwa bonge la usajili na atawasaidia sana Roma

    Jibu

    Mambo ya pesa tu

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.