Arsenal watasafiri mpaka Leicester City katika raundi ya tatu kwenye mashindano ya EFL Cup, wakati mabingwa wateteziwa kombe hilo Manchester City watakabiliana na Bournemouth au Crystal.
Ikiwa ratiba ya michuano hiyo imebana kutokana na kuchelewa kumalizika kwa msimu uliyopita sababu ya janga la virusi vya Corona, droo ya ratiba ya raundi ya tatu imefanyika siku ya Jumapili.
Arsenal wamepangwa kutembelea viunga vya King Power Stadium,wakati City ambao iliwafunga Aston Villa mwezi Februari na kutwaa taji hilo mara ya tatu mfululizo, watakuwa Etihad wakiwakaribisha Bournemouth au Crystal Palace.

Liverpool watakua na kibarua chepesi kwa kukutana na timu ya ligi ndogo na Manchester United watakabiliana na kati ya Reading au Luton Town.
Ratiba ya Raundi ya pili EFL Cup.
West Ham v Charlton Athletic
Ipswich Town v Fulham
Oxford United v Watford
Bournemouth v Crystal Palace
Leyton Orient v Plymouth Argyle
Southampton v Brentford
Bristol City v Northampton Town
Reading v Luton Town
Millwall v Cheltenham Town
Brighton and Hove Albion v Portsmouth
Newport County v Cambridge United
Gillingham v Coventry City
Round two north region draw in full:
Burnley v Sheffield United
Burton Albion v Aston Villa
Bradford City v Lincoln City
Leeds United v Hull City
Everton v Salford City
Wolves v Stoke City
Fleetwood Town v Port Vale
Rochdale v Sheffield Wednesday
West Brom v Harrogate Town
Middlesbrough v Barnsley
Derby County v Preston North End
Newcastle United v Blackburn Rovers
Morecambe v Oldham Athletic
Ratiba ya raundi ya tatu:
Bradford au Lincoln v Liverpool
Bristol City au Northampton Town v Burton Albion au Aston Villa
Morecambe au Oldham Athletic v Newcastle United au Blackburn Rovers
Reading au Luton Town v Manchester United
Derby County au Preston North End v Brighton and Hove Albion au Portsmouth
Ipswich Town au Fulham v Rochdale au Sheffield Wednesday
Manchester City v Bournemouth au Crystal Palace
Millwall au Cheltenham Town v Burnley au Sheffield United
Chelsea v Middlesbrough au Barnsley
Wolves au Stoke City v Gillingham au Coventry City
Leicester City v Arsenal
West Brom au Harrogate Town v Southampton au Brentford
Newport County au Cambridge United v Oxford United au Watford
Fleetwood Town au Port Vale v Everton au Salford City
Leyton Orient au Plymouth Argyle v Tottenham
West Ham au Charlton Athletic v Leeds United au Hull City
West Ham v Charlton Athletic
Ipswich Town v Fulham
Oxford United v Watford
Bournemouth v Crystal Palace
Leyton Orient v Plymouth Argyle
Southampton v Brentford
Bristol City v Northampton Town
Reading v Luton Town
Millwall v Cheltenham Town
Brighton and Hove Albion v Portsmouth
Newport County v Cambridge United
Gillingham v Coventry City
SHINDA NA HI LO
Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.


Aziza mushi
Asanteni kwa taarifa. Meridianbet
Ester jackson
Mambo ni moto yani hatariiiiiii
Theckla
Leicester City anashinda mapema tu hii mechi ,naandaa mkeka wangu Mana naona mechi Kama zote Asante meridianbet
Povel
Fixtures ipo poa sana CARABAO cup natumain match itakuwah ya ushindan mkubwa Sana hapa na mAtokeo yatahamuliwana ubora wa vikosi ndani ya cku hyo
Fatuma kasomo
Asante meridianbet
Adelta
Mambo Ni 🔥🔥🔥🔥@merdianbettz
warda
Itakuwa poa sana #Meridianbettz
Fatina mfingi
Mambo mazur
Zeiyana
Arsenal leo hawana kazi ngumu kiukweli tu arsenal wapo vizuri sana wanakikosi kizuri asilimia mia leo wanachukua ubingwa
felister
safi ratiba imesomeka
Tatu
Arsenal lazima akalishe mtu Leo
magdalena
arsenal kwa jitihada na juhudi walizonazo wanaweza wakamkalisha mtu leo ila wasijisahau sana
Elika
Ratiba ya mechi iko sawa kabisa
Lydia Emmanuel Magoti
Arsenal walivyo kuwa wazuri Sasaivi Wana weza wakamkalisha Leicester kumpa kichapo
Tahiya
Arsenal jeshi na imani hamtochana mkeka wangu
Mwajumah
Arsenal leo hawana kazi ngumu kabisa yan#Meridianbettz
Mwanahamisi
Mambo ni moto
Neema
Itakuwaa bombaa sana
aisha
Arsenal mtu mbaya lazima ashinde leo
Antony Luseno
Leicester wana asilimia kubwa za kushinda
Saupha mohamed
Mambo motoo
Christa
Arsenal mnyamaaaa
Rehema Dickson
naandaa mkeka wangu Mana naona mechi Kama zote Asante meridianbet
Furahav
Mmh ngoja tuone itakuaje.
Flomena
Thanks for Good news
Sadick
Ligi ya EPL imekuwa ikitajwa kama moja ya ligi zenye mechi nyingi hivyo kuchosha wachezaji,kuna mechi CARABAO-EFL, FA, CHAMPIONS LEAGUE kwa top teams na EPL yenyewe#meridianbettz
rama
Meridianbet asaiv atari sana
Ernest
Msimu wa 2020/2021 utanoga sana Uingereza maana vilabu karibia vyote vimejipanga vizuri sana kwenye mashindano yote, Huenda ata Bingwa wa UEFA akatokea Uingereza
Khadija
Mambo yamedamshi#meridjanbettz
Shani
Arteta mtihan wa kwanza efl lakini watakutan na vardy streika anaejua goli
Shafii
Hii sio mechi ya kukosa.
Issa
Arteta kipengele cha kwanza
Saupha mohamed
Mambo moto
Amiri Kayera
Mamb yashaanza kupamba moto
Gabriel
Arsenal walivyo kuwa wazuri 🔥🔥🔥🔥
Rehema
Gud news 👍
Janeflora malisa
Mambo ni 🔥🔥🔥
Dorophina
Ratiba imekaa poa sana
Latifa juma mohamed
Huu msimu tunaousubiria naona vilabu vyote vmejiweka ktk ukakamavu Lkn natupia upande mmoja wa shs arsenal dhidi Leicester natumai the gunner one atafembeza kichapo kwa Leicester.
Sauda
Ratiba imeeleweka
Rose kapinga
Mambo yanakua mazuri!!!
Nasra
Ratiba iko vzuri
Samiah
Gud
David Pere
Fixtures ipo poa sana CARABAO cup natumain match itakuwah ya ushindan mkubwa Sana hapa na mAtokeo yatahamuliwana ubora