Kylian Mbappe anapitia maumivu katika kifundo cha mguu wake wa Kulia baada ya mchezo dhidi ya Sweeden na Ufaransa kuibuka na ushindi wa 1-0 siku ya Jumamosi lakini mshambuliaji huyo anaamini kama ni jeraha dogo.
Mbappe alifunga goli katika mchezo huo shuti pekee lililopigwa kwa upande wa Ufaransa,na mchezaji huyo wa Paris Saint-Germain alitolewa dakika ya 77 ya mchezo baada ya kuchezewa madhambi kwenye mguu wake.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 amekuwa akisumbuliwa na jeraha katika kifundo chake cha mguu baada ya kuumia katika fainali ya Coupe de France, PSG walipokabiliana na Saint-Etienne mwezi Julai 24 na aliweza kupona na kushiriki katika fainali ya Champions League walipokutana na Bayern Munich.

France watakuatana na Croatia jijini Paris siku ya Jumanne na Mbappe amejiamini kwamba atakuwa fit kuukabili mchezo huo.
“Inauma kidogo. Niliangushwa, lakini nitakuwa vizuri na bora,” Mbappe aliiambia M6.
“Tutajiandaa vizuri ili tuweze kuwa bora zaidi dhidi ya Croatia. Tunaenda Kufanyia kazi mapungufu yote, ni kocha ndiyo atakaye amua kama nitacheza au kutocheza.
Mfumo wa 3-4-3 aliyo utumia Didier Deschamps haukuvutia sana kwa upande wa Timu ya Ufaransa, safu ya ushambuliaji ilikuwa na Mbappe, Olivier Giroud na Antoine Griezmann licha ya kuwa na washambuliaji wazuri lakini walipata ushindi mwembamba wa 1-0.
SHINDA NA HI LO
Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.


Rehema
Asante kwa makala
Rose kapinga
Ajal kazini!!
Issa
Mbappe mchezaj muhim ufaransa kukosekan ni pengo
Sabrina
Duuh pole sana Mbappe jeshii langu hiloo
Amiri Kayera
Majeraha yanamuandama mbappe
Aziza mushi
Pole Sana mbappe
Ester jackson
Mbappe namkubali sana ni mchezaji mzuri sana ambaye kwa ujumla timu wanamtegemea ila tatizo ni kwamba hakupona vizuri jeraha lake mana aliforce kucheza mechi cha ubigwa ila hakuwa fiti ila kama watamuacha akave majeraha yake nafikiri atakuwa powa zaidi kuliko hivyo Mara anacheza baada ya hapo anaumwa hiyo nikutokana kuwa bado jeraha halijapona
Hope mwaikuka
Ucjal utakua sawa tu
Theckla
Mbappe ni mchezaji mzuri Nina Imani atakaa sawa nakuitumikia timu yake
Povel
Mbappe amakuwah akiandamwa na majerah hv karibu kuanzia ndani club na national timu hvy na was was na majerah hayo kwn yanawez kumpelekeah kukaa nje muda mrefu kuliko yy anavyotuma matumain mashabik wake
Fatuma kasomo
Mchezeji mzuri sana usijali utakaa sawa
Adelta
Mashabiki tunakupa pole Sana mbappe usijali mwenyezi mungu akuponye urudi wew Ni kiungo mahiri sana@meridianbettz
warda
Mbappe namkubali sana#Meridianbettz
Fatina mfigi
Pole mbappe mungu hatakufanya wepesi utapona!
marry
pole
Zeiyana
Ukiangalia histor yake mbappe hana ndoto kubwa ili kufikia malengo hanatakiwa hawe makini siku zote majeraha ndio yanayo mfanya mchezaji kiwango chake kipungue so hasipo angalia hilo hinaweza ndoto zake zikagonga mwamba
magdalena
pole sana mbappe utakuwa sana izo ni changamoto ndogo tu
Tatu
Mungu atakuinua tena utapona utaludi kama zamani mbappe
Elika
Mbappe atapona na atakaa sawa
Lydia Emmanuel Magoti
Pole jembe la mashambulizi utaludi kwenye Hali yako mbappe
Tahiya
Get well soon Mbape
Mwajumah
Pole sana mbappe kwani ajali kazini#Meridianbettz
Mwanahamisi
Pole
aisha
Pole sana mbappe utakaa sawa
Neema
Usijal utapona
Antony Luseno
Ni matarajio ya wadau wengi adi ligi itakapoaanza utakuwa sawa
Saupha mohamed
Pole sana utakua fureshi tuu
Sadick
Mbappe anahitaji muda wa kujiangalia afya yake, hajapona sawa sawa kiasi cha kucheza#meridianbettz
Furahav
Mbappe angepumzika kwanza ili auguze vizuri.
Flomena
Pole yake
rama
ata kaa sawa tu mbappe
Khadija
Pole yake#meridianbettz
Ernest
Mara nyingi majeruhi yamekuwa yakiwapoteza wachezaji wazuri kwenye ramani ya soka, Mbappe anatakiwa kuhakikisha anapona kabisa majeraha yake bila hivyo atakuwa pancha kila siku
Shani
Mbape atalokava ila ni pengo kubwa sana
felister
utapona
Shafii
Majeruhi ya Mara kwa Mara ndio kikwazo kwake.
Gabriel
pole sana Mbappe
Tumaini kasalile
Pole
Janeflora malisa
Pole sana kijan
Dorophina
Sasa itakuwaje mbappe Ni mchezaji mzuri sana akikosekana sijui itakuwaje
Latifa juma mohamed
Pole Sana jembe ,Hilo jeshi la mtu mmoja mbappe unapitia magumu kwa majerah natumai utakuwa ok soon.
Nasra
Pole utakuwa sawa
Samiah
Pole sanaa kjn
David Pere
Mbappe namkubali sana ni mchezaji mzuri sana ambaye kwa ujumla timu wanamtegemea ila tatizo ni kwamba hakupona vizuri jeraha lake mana aliforce kucheza mechi cha ubigwa ila hakuwa fiti ila kama watamuacha akave majeraha yake nafikiri atakuwa powa zaidi kuliko hivyo Mara anacheza baada ya hapo anaumwa hiyo nikutokana kuwa bado jeraha halijapona