De Bruyne Ajiunga na Kikosi cha Belgium.

Nyota wa Manchester City na timu ya taifa ya Ubeligiji Kevin De Bruyne ameungana na wachezaji wenzake katika kikosi cha Belgium kuelekea mchezo dhidi ya Iceland siku ya Jumanne katika michuano ya Nations League.

De Bruyne hakuwepo katika kikosi cha Red Devils kwa mchezo wa ufunguzi kwenye Nations League katika kundi A2 ambapo Ubeligiji ilishinda kwa 2-0 dhidi ya Denmark.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 alipata ruhusa ya kwenda kujumuika na mke wake ambaye amejifungua mtoto wao wa tatu.

Lakini, kocha Roberto Martinez atakuwa na kiungo huyo mchezeshaji pale Ubeligiji itakapo wakabili Iceland mjini Brussels.

Wakati huo huo Michy Batshuayi amejiunga na timu baada ya kukamilisha siku 14 za kujitenga baada ya kuhisiwa huenda aliingiliana na watu wenye maambukizi ya virusi vya Corona.

Ni mchezaji mmoja wa Belgium hatokuwepo kwenye timu kwa mchezo wa Jumanne mchezaji huyo ni Yannick Carrasco.

De Bruyne pia yupo katika kinyang’anyiro cha tuzo ya PFA ya ligi kuu nchini Uingereza msimu 2019-20 akichuana na mastaa kama Sadio Mane,Raheem Sterling,Van Djik,Trent Alexander- Anold na Jordan Hernderson.


SHINDA NA HI LO

Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.

Cheza sasa

49 Komentara

    Belgium mmepata jembe..De Bruyne yupo vizuri

    Jibu

    safiii kabisa

    Jibu

    De bruyne yupo vizur sana mmelipata jembe ilo berlgium#Meridianbettz

    Jibu

    Karibu sana Belgium

    Jibu

    De Bruyne yupo vizuri jamaha huyo

    Jibu

    Wel come belgium

    Jibu

    Mashabiki tunashukuru kwa taarifa@meridianbettz

    Jibu

    Jembe hilo

    Jibu

    Karibu sana kijana

    Jibu

    karibu belgium

    Jibu

    Namuelewa kinyama De Bruyne

    Jibu

    De Bruyne yuko vzur bado japo alikumbana na majeraha lakn naamin yuko vzur

    Jibu

    Nawaona Beligium kama mabingwa wa European UEFA Nations League

    Jibu

    Belgium wamepata mchezaji mzuri

    Jibu

    Belgium wamepata jembe

    Jibu

    Bruyne ni miongoni mwa viungo mahiri katika karne hii

    Jibu

    Ubelgiji imebarikiwa na kikosi kipana chenye wachezaji wenye vipaji nadhani inaweza kushinda fainali za Ulaya msimu huu#meridianbettz

    Jibu

    De bruyne yupo vizuri sana ni mchezaji hanaye jituma akiwa uwanjani

    Jibu

    Karibu sana

    Jibu

    Ni mchezaj mzur kweny team

    Jibu

    Kiungo bora sana

    Jibu

    Karibu sana belgium

    Jibu

    Ni kiungo bora

    Jibu

    De bruyne fundi

    Jibu

    Fundi Sana Kevin

    Jibu

    Fundi sana kijana#meridianbettz

    Jibu

    Kuna kitu mechi ya kwnz tulikimic kukosekana KV

    Jibu

    Kipaji unacho kaka,nenda kakiwashe ubelgiji!!!

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Habari njema sana.

    Jibu

    De bruyne ni mchezaji mzuri na anajua majukum yake awapo uwanjani

    Jibu

    Jeshi hilo

    Jibu

    De Bruyne yuko vizuri sana#Meridianbettz

    Jibu

    all the best

    Jibu

    kila la kheri kwake akaoneshe juhudi zake ili aipatie ushindi timu

    Jibu

    Jembe hilo kijana yuko vizur

    Jibu

    Belgium wana kikosi kizur sana

    Jibu

    Jambo zuri

    Jibu

    Brune jeshiiii.

    Jibu

    Wakati huo huo Michy Batshuayi amejiunga na timu baada ya kukamilisha siku 14 za kujitenga baada ya kuhisiwa huenda aliingiliana na watu wenye maambukizi ya virusi vya Corona.

    Jibu

    Kdb ni kiungo muhim San uwepo wake Belgium unafanya hazard na lukaku kufumania sana wavu

    Jibu

    Habari njema.

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Vizuri kabisa.

    Jibu

    Gud

    Jibu

    Nice

    Jibu

    De Bruyne yuko vzur bado japo alikumbana na majeraha

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.