Kai Havertz ametua Stamford Bridge akitokea klabu ya Bayer Leverkusen, ikiwa Lampard anaendelea kukiimarisha kikosi cha Chelsea kwaajili ya msimu mpya.
Harvetz anatarajiwa kuwasumbua mabeki wa timu pinzani pale atakapo ungana na mtaifa mwenzake Timo Werner pamoja na Hakim Ziyech raia wa Morocco.
The Blues wametumia kiasi kikubwa cha fedha katika dirisha hili la usajili, kwa kufanikiwa kumnasa Havertz mwenye umri wa miaka 21 kwa dau linalo ripotiwa kufikia £71m.
Na Havertz hataki kusubiri sana kwani yupo tayari kuleta changamoto mpya baada ya kukamilisha uhamisho wake mapema mwezi huu, alisema: “Nataka kufanikisha mengi yanayowezekana.

“Nipo katika taifa jipya, tamaduni mpya najua itanipa shida wiki mbili tatu lakini baada ya hapo nataka kucheza na kufurahia nikiwa na vijana wenzangu.
“Chelsea ni klabu kubwa nataka tushinde mataji, nitajitahidi kucheza kadri ya uwezo wangu naimani tutafanikisha kushinda makombe.
Wakati ada ya uhamisho wa Havertz ikiwa ndiyo yenye kiwango kikubwa katika klabu ya Chelsea lakini kuna ushahidi kwamba Kai alistahili kuuzwa kwa thamani hiyo kutokana na umahiri wake.
Kai Havertz anarekodi ya kufunga magoli 38 na asisti 16 kwenye mashindano yote kwa misimu miwili iliyopita.
Labda swali la kujiuliza, je? ni nafasi ipi itamfaa Havertz katika mfumo wa Lampard.
Werner anatarijiwa kuongoza safu ya ushambuliaji wakati Ziyech na Christian Pulisic watakuwa wakitumika pembeni.Hii inamaanisha Havertz ataliendesha dimba la kati.
Wakati wake Lampard alipokuwa mchezaji aliisaidia chelsea kutwa mataji mbalimbali na kuwa na rekodi ya ufungaji bora alipokuwa akicheza nafasi ya kiungo na Havertz anataka kufuata nyayo za Lampard.
Kuhusu Kai Havertz
Umri: 21
Utaifa: German (Michezo 7, goli 1)
Nafasi: Kiungo Mshambuliaji
Timu ya zamani: Bayer Leverkusen (Michezo 150, magoli 46)
Timu ya sasa: Chelsea
Ada ya uhamisho: £71m
SHINDA NA HI LO
Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.


magdalena
havertz yupo vizuri sana tena sana anajituma
Theckla
Asante kwa kutujuza
Adelta
Kijana havertz Yuko vizuri@meridianbettz
lombo
asante kwa habar
Fatina mfigi
Asanteh kwa makala!
Shafii
Mwalimu Frank lampard atajua namna ya kumtumia na ndo maana kafanikisha kandarasi yake.
Lydia Emmanuel Magoti
Yupo vizuri
Povel
Takwimu zake zipo vzr sana swal je darajan anawez kutu offer Kama alivyokuwah luverksen ngoj tuone ligi ianze
Mwajumah
Asante kwa makala
rama
yuko njema sana kjjana
felister
habari njema
jullie
asante kwa taarifa
Hope mwaikuka
Axante kunijuza hili
Tatu
Kijana yupo vizuri
Issa
Havertz kiungo ambae anajua kufunga
Sadick
Kai Havertz ndani ya Chelsea anaongeza ugumu kwa Lampard namna ya kupanga kikosi#meridianbettz
Salma ngende
Asante kwa taharifa
aisha
Havertz ni kijana anayejua mpira
Khadija
havertz yupo vizuri sana#meridianbettz
Amiri Kayera
Fundi wa mpila
Saupha mohamed
Asanteni kwa taarifa
Zeiyana
Lampard hanakazi ya ziada kupanga kikosi chake ukiangalia amesajiri wachezaji mairi wengi wenye kujituma
Rehema
Fundi wa mpira
Sabrina
Kai yupo vizuri katika soka
Gabriel
Dogo yuko vzur sana bonge la bek
Janeflora malisa
Yupo vzr
Latifa juma mohamed
Lampard Hana haja ya kupanga kikosi aamini ya kwamba amesajili majembe wanaojituma na wenye jitihada, hongera Sana harvetz gud player.
Dorophina
Havertz Ni talent player
Sauda
Kijana anajituma sana.
Rose kapinga
Mpambanaji huyo,anajua anachokifanya awapo kiwanjani,noma sana!!!
Ernest
Havertz ni moto wa kuotea mbali, Nasubiri kuona maajabu yake ndani ya Chelsea
Fatuma kasomo
Habari njema
Nasra
Safii
Tahiya
Lampard anataka kombe msimu huu usajir wake sio mchezo
Mwanahamisi
Yuko vizuri
Ester jackson
Nazi kwake kocha kupanga kikosi
Samiah
Yupo vzr
Isaya massawe
Bonge la mchezaji
David Pere
Mwalimu Frank lampard atajua namna ya kumtumia na ndo maana kafanikisha kandarasi yake.