Lionel Messi:Sijihangaishi Tena Kufunga Magoli.

Lionel Messi amesema siku hizi haangaiki tena na kufunga magoli na nyota huyo wa timu ya Barcelona na Argentina anaangalia mafaniko ya timu pekee.

Messi amesimama pekee yake kileleni akiwa ni mfungaji bora wa muda wote katika chati za miamba ya LaLiga Barcelona na timu ya taifa ya Argentina.

Mshindi mara sita wa tuzo ya Ballon d’Or ameongeza rekodi yake ya kufunga katika timu ya taifa kwa kufkisha magoli 71 baada ya kufifungia Argentina 1-0 dhidi ya Ecuador wiki iliyopita katika michezo ya kufuzu kushiriki kombe la Dunia.

Lakini Messi sasa ameweka kipaumbele malengo ya timu, ameiambia Garganta Poderosa magazine: “Leo sihangaiki tena na kufunga, najitahidi kujituma kadri niwezavyo kwaajili ya timu.”

Lionel Messi:Sihangaiki Tena na Kufunga Magoli.
Lionel Messi

 

Messi ni mchezaji wa Barcelona wa muda wote anaye ongoza kwa kufunga magoli mengi akiwa na jumla ya magoli 635 aliweza kuichezea klabu hiyo ya Hispania tangu mwaka 2004.

Katika idadi hiyo ya magoli 445 amefunga katika LaLiga na kuweka historia katika ligi hiyo akifuatiwa na mchezaji wa zamani wa Real Madrid Christiano Ronaldo akiwa na magoli 311.

Messi mwenye umri wa miaka 33 amefunga mara 115 katika Champions League, pia amefunga magoli 53 katika Copa del Rey,14 katika Supercopa de Espana, na matatu katika UEFA Super Cup na matano katika Club World Cup.

Tangu alipoanza kucheza dhidi ya Espanyol miaka 16 iliyopita Messi amefanikiwa kutwaa taji la LaLiga mara 10, Copa del Rey mara 6 na Champions League mara nne.

Msimu 2020-21 Messi amefanikiwa kufunga goli moja katika michezo mitatu ya LaLiga akiwa chini ya mwalimu Ronald Koeman.

Messi am,eendelea kuitumikia Barcelona licha ya kutaka kuondoka wakati wa dirisha la usajili na alikuwa akihusishwa kwa kiasi kikubwa kumfuata kocha wake wa zamani Pep Guardiola wa Manchester City.


Unapenda kuwa shujaa?

Naam, hapa ni mahali pako! Kuwa shujaa kwenye sloti hii ya Samurai Ken ujishindie mkwanja na kujipa burudani murua. 

Cheza sasa 

Samurai Ken Online Casino

26 Komentara

    Messi atabaki kua juuuu

    Jibu

    messi anajituma sana akiwa uwanjani kuhakikisha timu yake inafanya vizuri na itabaki kuwa tu ivyo

    Jibu

    ni kweli messi yupo sahii sasa hivi hatumie nguvu zake nyingi kuiweka timu yao kwenye ubora

    Jibu

    Messi fundi

    Jibu

    Messi MTU mbayaa

    Jibu

    Messi anachosema ni sahihi sana pongezi kwake

    Jibu

    Messi niwa kiwango cha juu

    Jibu

    Kwa apo alipofikia yupo sahihi kwa anachokisema

    Jibu

    Vizuri alicho kiongea Messi mamuziyake ndio yalio mtuma kufanya hivyo

    Jibu

    Tatizo mara zote Messi amekuwa hapokei support kubwa kutoka kwa team mate katika level ya Club na Taifa hivyo kumfanya kukosa baadhi ya mataji mbali na mchango wake mkubwa katika timu hizo

    Jibu

    🤣🤣 naona Messi kashachoka

    Jibu

    Jesh kubwa

    Jibu

    Mess anapokuwa uwanjani anajiamini sana na kama ikitokea amefungwa anaumia sana

    Jibu

    LA pruga nimoto

    Jibu

    Kwa uwezo wake Messi kwa sasa kweli kabisa inatakiwa haangalie timu inaendaje kipindi hiki

    Jibu

    Messi fundi

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Shida Messi hajatuonyesh ubora kwny level ya national Timu

    Jibu

    Messi mtu mbadi

    Jibu

    Mess ni moto san huyu jamaa

    Jibu

    Dah mambo si mambo sasa

    Jibu

    Mess fundi

    Jibu

    Mess mtu mbaya

    Jibu

    Mafanikio ya team muhim maan wanamda awajapata vikombe

    Jibu

    Hasira za nini sasa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.