Uchambuzi: Leeds vs Arsenal.

Mikel Arteta anaamini Arsenal itakuwa katika usafiri mgumu wakati watakapo tua katika viunga vya Elland Road kuikabili Leeds United.

Ratiba ya Premier ikiwa imefikia robo Gunners wmefanikiwa kushinda michezo minne na kufungwa michezo minne katika mechi nane msimu huu.

Na wakati, wenyeji wakiwa hawana muendelezo mzuri Arteta anaona kwa kiasi fulani kuna matarajio kutoka kwa timu ya Marcelo Bielsa kwa maana ya kujaribu kupata matokeo.

Alisema: “Watakuja wakiwa wapo kamilikama wanavyofanya mara zote, walikuwa na wiki mbili za kujiandaa kwajili ya mechi hii.

“Hawana wachezaji wengi wanao wakilisha timu za taifa kama sisi sitarajii kuona wakibadilika sana.

“Hawaangalii wanacheza na nani niliwaona msimu uliyopita wapo katika kiwango kikubwa na mara zote huwa wanajaribu kushinda.

Baada ya kupoteza kwa 4-1 dhidi ya Crystal Palace mchezo wao wa mwishona kuweka alama ya kupoteza mchezo wa tatu ndani ya mechi nne

Leeds wataimarika baada ya kiungo wao Kalvin Phillips kupona tatizo la bega wakati mshambuliaji wa Spain Rodrigo anajiandaa kuwa benchi baada ya kumaliza muda wa kujitenga.

Arsenal watakuwa bila Thomas Partey mwenye tatizo la paja pamoja na Sead Kolasinac na Mohamed Elneny baada ya wawili hao kukutwa na maambukizi ya virusi vya corona.

Je wajua?

Arsenal wameshinda michezo yao tisa kati ya 11 kwenye Premier League mjini Yorkshire, ingawa walipoteza mchezo wao wa ugenini dhidi Sheffield United mwezi Oktoba 2019.

Leeds wamepoteza michezo yao miwili ya Premier League, bado hawajapoteza michezo mitatu wakiwa chini ya Biesla.


BASHIRI UKIWA MAHALI POPOTE!

Hauhitaji kuwaza linapokuja suala la ubashiri na odds kubwa. Bashiri na Meridianbet ukiwa popote ufurahie ushindi mkubwa katika michezo mbalimbali na hadi milioni 16 kwenye michezo ya kasino.

Meridianbet Beti Popote

INGIA MCHEZONI!

29 Komentara

    Mashabiki tumeielewa hii makala

    Jibu

    Asant kwa taarifa

    Jibu

    Arteta anajitaidi kuhamasisha wachezaji wa Arsenal

    Jibu

    Arsenal Wana viungo wazuri na kocha wao yuko makini

    Jibu

    Kocha Mikel Arteta anajiamini sana kwa sababu anawachezaji wazuri wanaoichezea timu ya taifa ila asisahau mpira dk 90

    Jibu

    Iko poa

    Jibu

    Leeds inacheza open football,inashambulia muda wote na Arsenal inacheza kwa mipango na uangalifu eneo la Ulinzi na kiungo. Nabashiri mchezo kuwa na magoli 3 na kuendelea

    Jibu

    Uchambuzi bomba

    Jibu

    Mtanange wa kibabe

    Jibu

    Mambo si mambo

    Jibu

    Namkubali Sana kocha Arteta anajua nini anakifanya haipingwi hiyo kwake

    Jibu

    Nice update

    Jibu

    Shukrani kwa tahalifa

    Jibu

    Hatare sana hii

    Jibu

    Iko poa

    Jibu

    Ahsanteni sana kwa taarifa

    Jibu

    Inapendeza

    Jibu

    Uchambuzi mzuri nataumai gunner wanawez kupata matokeo kwny mchezo wa leo

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Vizur

    Jibu

    Mtanange wa kibabe

    Jibu

    Arteta yupo vizuri kwenye kufundisha

    Jibu

    walikuwa na wakati mgumu sana ila arteta yuko makini sana katika ufundishaji wake

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Ilikua mechi ngumu kwa arteta

    Jibu

    habari nzuri

    Jibu

    Makala imetulia

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.