Kunako michezo ya NBA – Eastern Conference, Boston Celtics wameibuka kidedea dhidi ya mpinzani wao Miami Heat kwenye mchezo wa 5.
Fainali ya Eastern Conference inaendelea kupamba moto ikiwa tayari michezo 5 kati ya 7 imeshamalizika. Miami Heat wanaongoza kwa ushindi wa jumla wa 3-2 baada ya Celtics kushinda mchezo wa 5.
Celtics walikuwa tayari wameshafungwa 58-51 kabla ya kupambana na kupindua matokeo kwa ushindi wa pointi 121-108 dhidi ya Heat.
Jayson Tatum alifunga pointi 31 akisaidiana na Jaylen Brown ambaye aliongeza pointi zingine 28.
“Tulijua tulitakiwa kucheza vizuri, tulikuwa tunapambania maisha yetu. Ilituhitaji kutumia nguvu zetu kwa pamoja kwenye kipindi cha pili na ndicho tulichokifanya.” amesema Jayson Tatum
“Lengo letu ni kujakucheza, kushindana na kuonesha uwezo wetu. Tulicheza vizuri kwenye kipindi cha pili, tunapaswa kufanya hivyo mara nyingi zaidi kutokana na nafasi tuliyopo kwa sasa.” amesema kocha wa Boston Celtics – Brad Stevens.
Mchezo wa 6 utachezwa Jumatatu usiku.
FURAHIA KASINO YA MTANDAONI
Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.


felister
pongezi kwenu Boston celtics
Nasra
Hongera sana
Caroline
Hongera Sana Boston
Fatina
Nice
Lydia Emmanuel Magoti
Pongezi kwao Boston
Zeiyana
Boston walishambulia sana na ndio ulikua nia ya ushindi wao walionekana kabic wamejipanga na gemu hile kwa upande wa Miami heat walijitaidi sana ila ndio ivyo tena bahati haikua kwao
Antony Luseno
Sijajua Miami heat walikwama wapi maana ni timu ambayo pia ina wachezaji wazuri
Adelta
Hongera yake
Shafii
Pongezi kwao.
aisha
Pongezi kwao boston
Mwajumah
Hongera sana
Shani
Boston ni hatari ila mzik wa lakers hawaufikii
Hopemwaikuka
Boston wametishaa
Elika
Hongera sanaaa kwao Boston
Gabriel
Pongezi kwao Boston
Amiri Kayera
Ongera yao
Ernest
Mapinduzi yanazidi tuu ndani ya NBA
Sadick
Basketball ni kati ya burudani ambazo zinaweza kkufanya usibanduke kwenye TV ukiendelea kukodoa macho#meridianbettz
Issa
Moto mwingine huu boston
David Pere
Boston walishambulia sana na ndio ulikua nia ya ushindi wao walionekana kabic wamejipanga na gemu hile kwa upande wa Miami heat walijitaidi sana ila ndio ivyo tena bahati haikua kwao
Rose kapinga
Kazi nzuri
Sabrina
Hongera sana
magdalena
NBA mambo yanaziki kushamiri kila kukikucha
Dorophina
Hongera kwao boston
Povel
Mambo ni moto