La Lakers wameondoka na ushindi kwa mara ya pili mfululizo wakati ambapo Milwaukee Bucks wamewagaragaza Chicago Bulls usiku wa kuamkia leo.
Lakers walikuwa uwanjani kuchuana na San Antonio Spurs ambapo vijana wa LA wameibuka na ushindi wa pointi 109-103.
LeBron James alimaliza mchezo kwa kuweka ‘tripple-double’ hii ni akiwa amefunga pointi 26, alitoa pasi 10 za magoli na kucheza mipira 11 iliyokufa.

Anthony Davis ndio alikuwa shujaa wa Lakers safari hii akipachika pointi 34, na kucheza mipira 11 iliyokufa. Huu ni ushindi wa pili mfululizo kwa vijana wa Los Angeles mbele ya Spurs ndani ya siku tatu.
Kwingineko kunako matokeo ya NBA, Milwaukee Bucks wamewalaza chali Chicago Bulls kwa ushindi wa pointi 126-96.

Giannis Antetokounmpo alipachika pointi 29, alitoa pasi 8 na kucheza mipira 12 iliyokufa. Hakuna timu iliyofunga pointi nyingi kwa mipira ya adhabu (108) kuwazidi Bucks mpaka sasa kwenye msimu huu.
Matokeo ya michezo ya NBA iliyochezwa Ijumaa usiku.
Memphis Grizzlies 108-93 Charlotte Hornets, Detroit Pistons 96-93 Boston Celtics, Dallas Mavericks 93-83 Miami Heat, Atlanta Hawks 114-96 Brooklyn Nets, Washington Wizards 130-109 Minnesota Timberwolves, Phoenix Suns 106-103 Denver Nuggets, Utah Jazz 106-100 Los Angeles Clippers, Portland Trail Blazers 123-98 Golden State Warriors
VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini?
Latifa juma mohamed
Nawakubali Sana Lakers
Magdalena
NBA kuzuri
Caroline
Hongera zao
Tatu
Lakers wapo vizuri
Issa
Lakerson fire
Sarah
Ongera kwao
Rahmal
Wapo vizuli
Sania
NBA kumekucha
Saupha mohamed
Mambo moto
Dorophina
Lakers wapo vizuri sana
Rehema
Asante kwa taarifa
Mwanahamisi
Wapo vizuri
Hopemwaikuka
Kwa raha zao
Lydia Emmanuel Magoti
Wapo vizuri
Angelina
Lakers chama langu
felister
Lakers wapo vizuri
warda
Kwa raha zao