LA Lakers wameambulia ushindi wao wa tatu mfululizo katika muendelezo wa NBA. LeBron James, anaongoza mashambulizi.
Lakers walikua wakichuana na Sacramento Kings katika mchezo ambao, Lakers walijikuta wakielekea kuupoteza kwa matokeo ya pointi 96-89 huku zikiwa zimesalia dakika 8 mchezo kutamatika.
Ligi ya NBA ni kama soka, kila dakika inaweza kufanya kitu cha kipekee. James alipachika jumla ya pointi 14 huku Malik Monk akiongeza zingine 11 ndani ya dakika 8 na kuwapa Lakers ushindi wa pointi 122-114.
Ushindi kwa Lakers ni muendezo wa Kings kupoteza mchezo wa 2 kati ya 5 waliyocheza hivi karibuni.
Una Kila sababu ya kufurahia wiki yako na kutengeneza mwaka huu uwe wa faida zaidi katika kasino zetu za mtandaoni za meridianbettz. Mchezo wa Zeus Ancient Fortunes unakuongoza kutekeleza hilo.


