Joe Saunders Anafikiria Kustaafu Ndondi

Billy Joe Saunders anafikiria kama anaweza kustaafu ngumi baada ya kupata kipigo kikali kutoka kwa Saul ‘Canelo’ Alvarez.

Joe Saunders Anafikiria Kustaafu Ndondi

Saunders alipata shida kwenye mfupa wa shavu pamoja na maeneo mengine, ingawa bado hajathibitisha maamuzi hayo The Brit anaifikiria hatimaye yake kwenye michezo.

“Nilifanyiwa upasuaji,” Saunders aliiambia Talk Sport. “Nilivunjika soketi ya jicho, nimewekewa visaani sasa nipo kama Temineta, nimejaa vyuma.

Ilikuwa jeraha kubwa ambalo sikufikiria kama ninalo lakini huwezi kujua nini kitatokea kwenye masumbwi.

“Mwisho wa siku nina umri wa miaka 31 sitaki kurudi nyuma na kama nataka kukaa na kupumzika naweza kufanya hivyo.

“Nitaongea na baba yangu kwa sababu atakuwa na mengi ya kusema kuhusu hili na itategemea na jinsi atakavyo sema ni 50-50. yaani”


WEKA PESA KUPITIA DUKANI MERIDIANBET!

Chukua namba yako ya akaunti na kiasi cha pesa unachotaka kuweka, sogea kwenye duka lolote la Meridianbet lililo karibu nawe utasaidiwa kuweka pesa.

Weka Pesa Meridianbet

WEKA PESA

4 Komentara

    Kazi na umri

    Jibu

    Apumzike tu umri ushaenda

    Jibu

    Kazi na umri

    Jibu

    Rekod za kibabe

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.