Benzema na Carvajal Shakani Kuwakosa Cadiz Wikendi Hii

Karim Benzema na Dani Carvajal wote wapo kwenye shaka la kukosa mchezo ujao wa Real Madrid wa LaLiga dhidi ya Cadiz siku ya Jumapili katika dimba Estadio Santiago Bernabeu sababu ya majeraha.

Benzema na Carvajal Shakani Kuwakosa Cadiz Wikendi Hii

Los Blancos watamenyana na kikosi cha Alvaro Cervera bila uwepo wa Luka Modric, Marcelo, Marco Asensio, Rodrygo, Gareth Bale na Andriy Lunin, ambao wote wamepatikana na COVID-19.

Carvajal amekuwa akipata muda wa kucheza chini ya Carlo Ancelotti,kwa upande wa Benzema alicheza dakika 45 kwenye mchezo wa derby dhidi ya Atletico Madrid na kufunga bao moja kabla ya kutoa nafasi kwa Luka Jovic.

Hii ina maana kwamba Ancelotti anaweza kukosa wachezaji kama wanane kwenye mchezo dhidi ya Cadiz, huku watatu kati yao wakiwa wakiwa na uhakika wa kucheza katika kikosi cha kwanza.

Real Madrid kwa sasa wanaongoza jedwali la LaLiga Santander, wakiwa na pointi 13 mbele ya Atletico Madrid na pointi 18 mbele ya Barcelona.


ANZA MSIMU WA SIKUKUU NA BURST THE BANK

Fanya wiki yako iwe ya ushindi mkubwa ndani ya kasino za mtandaoni za meridianbet. Mchezo wa BURST THE BANK🔥🤑 ni moja kati ya mchezo pendwa unaowapa wachezaji mamilioni kila siku. Kwa dau dogo unashinda zaidi.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.