Di Maria: Aguero Anataka Kujiua Huko Barcelona

Winga wa Paris Saint-Germain, Angel Di Maria amekiri kwamba huko Barcelona mshambuliaji Sergio Aguero anajisikia vibaya sana baada ya kuondoka kwa Lionel Messi ambaye alikuwa ni sababu kubwa ya yeye kujiunga na The Blaugrana.

Di Maria: Aguero Anataka Kujiua Huko Barcelona

Wiki iliyopita tuliona Messi akiondoka Barcelona rasmi na kujiunga Di Maria huko PSG hali iliyomuacha Aguero bila rafiki yake wa karibu.

“Kun anataka kujiua mwenyewe, nini uanweza kufanya,” Di Maria alisema kwa kicheko wakati wa mahojiano na TyC Sport.

“Mbali na hayo yote Messi kuachana na Barcelona kitu kibaya ni kuwa Kun amepata jeraha amabalo litamueka nje kwa muda wa miezi miwili mpaka mitatu.

Di Maria: Aguero Anataka Kujiua Huko Barcelona
Angel Di Maria, Sergio Aguero na Lionel Messi wakiwa na timu ya taifa ya Argentina

Messi na Di Maria ni marafiki wazuri ambao wamefanikiwa kutwaa ubingwa wa Copa America mwaka huu.

“Kwangu mimi ni rahisi sana kucheza na Messi yaani ukimbia anakupasia mpira na unafika kwenye miguu yako,” aliezea.

“Messi ni wa dunia yake nimecheza na wachezaji wengi kama Christiano, Neymar, Mbappe, Rooney, Van Persi, Ibrahimovic Benzema, na Bale sijawahi kuona kama yeye, Messi ni wa kipekee.


SHINDA NA TIKI REWARD KASINO

Unaanzaje siku yako bila kuwa na pesa, Meridianbet kupitia kasino zake za mtandaoni inakupa sababu ya kufanya siku yako kuwa njema. Mchezo maarufu wa Tiki Reward unaweza kukufanya milionea. Cheza sasa kibingwa!

Tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

2 Komentara

    Mhh hiyo kali

    Jibu

    Duhh

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.