Ibrahimovic Aitwa Katika timu ya Taifa ya Sweden

Zlatan Ibrahimovic ameitwa tena katika kikosi cha timu ya taifa kwaajili ya michezo ya kufuzu kushiriki kombe la Dunia 2022.
Ibrahimovic Aitwa Katika timu ya Taifa ya Sweden
Zlatan Ibrahimovic

 

Ibrahimovic hajaichezea timu hiyo ya taifa tangu alipotangaza kustaafu kwake kucheza mechi za kimataifa mwaka 2016 lakini amehusishwa tena katika kikosi cha Janne Andersson cha hivi sasa.

Mchezaji huyo wa miaka 39 atajiunga na timu ya Sweden mwezi mwishoni kwaajili ya kuinaza safari ya kuelekea Qatar mwaka 2022 na Andersson amefurahi kumkaribisha tena mfungaji bora wa muda wote wa Sweden katika timu yake.

Alipoulizwa ni nini Ibrahimovic atakileta katika timu baada ya kutangaza kikosi chake kipya siku ya Jumanne, Andersson aliwaambia maripota: “kabla ya yote kwanza, ni mchezaji mzuri sana borakabisa kuwa katika timu ya Sweden.

“Ni kweli inafurahisha kwamba kuona anataka kurejea tena.

“Kwa kuongeza ni nini anaweza kuchangia uwanjani, anauzoefu mzuri na anaweza kucchangia kwa wachezaji ndani ya timu.


Maana Kamili ya Ushindi Katika Kasino za Meridianbeti ni Pamoja na Mchezo wa Tropical Wild.

Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Tropical Wild na uwe moja ya washindi na Mabingwa.

CHEZA HAPA

9 Komentara

    Safi sana

    Jibu

    Vizuri sana

    Jibu

    Inapendeza

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Safii

    Jibu

    Iko inapendeza Sana

    Jibu

    Habari njema kwa movic

    Jibu

    Ibrahimovic apunguze majivuno

    Jibu

    Ibrahimovic anastahili kwenda Timu ya Taifa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.