Mshambuliaji wa Liverpool Mohamed Salah amesema kwamba alishtushwa na matokeo ya tuzo za Ballon d’Or 2021 baada ya yeye kuwekwa nafasi ya 7 na alisema hakuana aliyetarajia kwamba yeye atamaliza katika nafasi ya mbali.
Lakini Salah amesema kwamba amefamnya mengi ya kutosha katika kazi yake, Mmisri huyo alifanikiwa kufika hatua ya fainali ya AFCON mwaka huu na sasa hivi nidiyo kinara wa kuweka kambani katika klabu ya Liverpool kwenye mbio za ubingwa wa EPL.
“Ilinishtua kutofanya vyema katika upigaji kura wa Ballon d’Or, lakini hakuna ninachoweza kusema. Hakuna mtu duniani aliyetarajia kwamba ningekuwa wa saba, lakini ndivyo ilivyotokea,” Salah alisema kwenye TV ya Misri na chaneli ya DMC.
Juu ya kutoshiriki FIFA World XI, alisema: “Sihisi kama ni njama, lakini kunaweza kuwa na chaguzi zisizo sahihi, na kuna nchi nyingi ambazo hazipendi ujuzi wa soka na hadi sasa. Sijui yao. uchaguzi kulingana na nini, lakini siamini katika nadharia ya njama.
Haijawahi kuwa rahisi hivi kwenye safari yako ya kuvuna mkwanja, kasino maridhawa ya meridianbettz inakuletea mchezo wa Emoticoins unaokupa nafasi ya kufanya safari yako kuwa rahisi zaidi. Wakati ni wako nafasi ni yako na Emoticoins.