Macho Yote Selhurst Park ni Palace vs Arsenal

Baada ya mechi kibao kuchezwa wikendi iliyopita leo ni zamu ya Crystal Palace dhidi ya Arsenal ndani ya dimba la Selhurst Park mchezo wa Premier League.

Ni vita ya makocha wawili ambao waliwahi kuichezea Arsenal hapo nyuma katika eneo la kiungo Patrick Viera kocha wa Palace akimkaribisha Mikel Arteta. Kikosi cha Arteta kina kumbukumbu ya kuidungua 1-0 Aston Villa kabla ya mapumziko ya kimataifa  wakati Palace ilienda sare ya bila kufungana na Man City.

Macho Yote Selhurst Park ni Palace vs Arsenal

Taarifa ya Timu

Crystal Palace wanaweza kuwakosa Michael Olise na Wilfried Zaha, ambao wamekuwa wakiuguza majeraha ya mguu na nyama za paja.

The Eagles pia wanaangalia uzima wa James McArthur na Nathan Ferguson.

Mlinda mlango wa Arsenal Aaron Ramsdale anatazamiwa kukosa mechi ya pili kutokana na jeraha la misuli.

Bukayo Saka amerejea mazoezini baada ya kujiondoa kuichezea timu ya taifa ya England kutokana na ugonjwa na anatarajiwa kucheza leo.

Takehiro Tomiyasu, ambaye hajashiriki kwa wiki 10 kwa sababu ya tatizo la majeraha, amerejea mchezoni.

Tupia Keka lako Hapa


3500 NI YAKO UKIJIUNGA TU MERIDIANBET!

Una nafasi ya kupata bonasi ya shilingi 3500 kwa ajili ya kuanza safari yako ya kasino ya mtandaoni ya Meridianbet.

Kubeti Poa - Bonasi Kubwa

Jisajili sasa

Acha ujumbe