Rooney Amkejeli Christiano Ronaldo

Mchezaji wa zamani wa Manchester United Wayne Rooney amemcheka Christainao Ronaldo baada ya nyota huyo wa Ureno kudai kwamba Rooney anamuonea wivu.

Rooney Amkejeli Christiano Ronaldo

Rooney aliongea wiki hii kwamba staa huyo aliyesajiliwa majira ya kiangazi kwamba ameshindwa kutimiza kile United walikuwa wanahitaji kutoka kwake licha ya staa huyo kuwa ndiye mfungaji bora wa United msimu huu.

Ronaldo alijibu mapigo kwenye mtandao wa instagram na akidai kwamba mchezaji mwenzake huyo wa zamani wa Red Devil anaweza kuwa na wivu na yeye.

Rooney alisema wachezaji wa sasa watakuwa na wivu na Ronaldo: “Nimeona asubuhi hii.” alisema Rooney

“Naweza nikasema hakuna mchezaji kwenye sayari hii ambaye hana wivu na Christiano Ronaldo.”

“Kwa mataji aliyoshinda, pesa anazomiliki….. six pack alizonazo kila mchezaji hata Lionel Messi ana wivu na Ronaldo.


VUNA MKWANJA NA AVIATOR

Maana halisi ya ushindi mkubwa unaipata katika kasino ya mtandaoni ya Aviator kutoka meridianbettz. Andaa kapu la ushindi wa mkwanja na beti kibao za BUREEE.

 

SOMA ZAIDI

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.