Tyson Ataja Kiasi Anachohitaji Kuzichapa na Jake Paul

Gwiji wa ndondi Mike Tyson amefunguka kiasi anachoweza kuchaji kama mapromota wakitaka pambano lake na Youtuber Jake Paul litokee.

Tyson Ataja Kiasi Anachohitaji Kuzichapa na Jake Paul

Aliombwa kutaja kiasi cha pesa ambayo itamshawishi mwanamasumbwi huyo kurejea ulingoni akiwa na umri wa miaka 55 kwaajili ya kuchapana na Jake Paul na Tyson alidai kiasi cha dola bilioni moja inaweza kumrudisha ulingoni.

“Daima nimekuwa nikivuta sigara naye,” Tyson alisema kwenye podikasti yake, inayoitwa Hotboxin.

“Nilikuwa naye huko St. Barts muda mfupi uliopita, tukifanya sherehe.

“Hakuna mtu aliyeniambia kuwa nitakuwa na pambano na Paul.

“Sijawahi kusikia kuhusu hili ndo nasiki kutoka kwenu jamani tuna mengi zaidi macho ya blu na nywele za blonde hivyo vitu ni gharama, tuna hitaji kutengeneza pesa aisee.

“Hana pesa za mfalme. Kwa hiyo mkataba wa mfalme uko wapi?


3500 NI YAKO UKIJIUNGA TU MERIDIANBET!

Una nafasi ya kupata bonasi ya shilingi 3500 kwa ajili ya kuanza safari yako ya kasino ya mtandaoni ya Meridianbet.

Kubeti Poa - Bonasi Kubwa

Jisajili sasa

Acha ujumbe