Wakala wa Tahith Chong amesema sema kinda huyo anataka kwenda ligi ya Bundesliga hali ya kuwa Werder Bremen wameripotiwa kuwa karibu kumaliza dili hiyo ya mkopo na mchezaji huyo wa Manchester United.
Chong mwenye umri wa miaka 20 aliongeza mkataba na klabu ya Man United mpaka mwaka 2022 mwezi Machi licha ya Inter kuonesha nia ya kutaka huduma ya kiungo huyo.
Lakini timu yake hiyo ya kwanza ilimpa fursa mchezaji huyo kwenye mchezo dhidi ya LASK siku ya Jumatano na kucheza mchezo wa kwanza kama mchezaji wa akiba, tangu kusimama kwa shughuli mbalimbali ulimwenguni kutokana na janga la Corona.

“Tahith angependa kujiunga na ligi ya Bundesliga,” muwakilishi wake Erkan Alkan aliiambia Bild.
“Tutaongea na Manchester United siku ya Alhamisi.”
Hiyo inaleta ishara ya dalili za kuondoka kwa kinda huyo kuelekea Werder Bremen, akiripotiwa na Bild Alkan alikuwa kwenye mazungumzo na kiongozi wa michezo na mkuu wa skauti Clemens Fritz.
“Najua mchezaji atacheza nafasi ya kiungo mshambuliaji, sitaki kuongea sana,” alisema Baumann, hii ni kwa mujibu wa The Newspaper.
Kama Chong atajiunga na Werder, ataziba nafasi ya Milot Rashica, mchezaji wa kimataifa wa Kosovo ambaye ameripotiwa kutakwa na vilabu mbalimbali ambavyo ni Liverpool, Wolves, Aston Villa na RB Leipzig.
Tiketi yako ya kwanza kamwe haiwezi kupoteza ukiwa na Meridianbet. Unarudishiwa 100% ya Tiketi yako ya kwanza.


Frank
Aende akapate uzoefu zaidi kwa jinsi msimu ujao unavyotazamiwa kuwa sidhani kama atapata nafasi za kucheza mara kwa mara Man u
Fatuma kasomo
Habari njema
Gabriel
Bora aende maana chong anakosa sana namba akiwa man u
neema hassan
Kambi popote
Furahav
Aende tu akaongeze kiwango.
Sadick
Wachezaji kinda kama Chong anatakiwa kuangalia timu itayomupa nafasi kubwa ya kucheza kuimarisha kiwango chake#meridianbettz
Ernest
Deal zuri kwa Chong
Neema juma
Habari njema hii
Amiri Kayera
Saf Bola akachez
Rehema
Kambi popote
Zuhura omary kindamba
Safi sana kwa mchezaji kama uyu kuwa na uwezo
Sabrina
Aende tu
Janeflora malisa
Aende akaongeze ujuz
Latifa juma mohamed
Kambi popote.
David Pere
Ni Jambo zuri kwenda kujifunza zaidi ili atakaporejea awe amewiva vizuri
Mwajumah
Bora aende tu Kwan kambi popote#Meridianbettz
magdalena
kama mchongo wa kwenda umekamilika aende ili aongeze uzoefu zaidi
Mwanahamisi
Kambi popote
Dorophina
Bora haende tu maana man u walikuwa wanamuweka muda mwingi benchi
Ester jackson
Good news
Adelta
Bora aende tu aongeze kiwango
# meridianbettz
Nasra
Dah ila uwezo anao
Caroline
Inabidi atafute timu nzuri
Fatina mfingi
Kambi popote
Zeiyana
Hayo ni maamuzi yake kijana kaona ni bola hatafute masilahi yake man u wanatamaa ya wachezaji hikiwa bado wanakikosi kizuru tu cha wachezaji
Samiah
Kambi ni popote
felister
aende akapate uzoefu zaidi
Lydia Emmanuel Magoti
Umepata mguu wakutoka kapambane
Tatu
Good news
Shafii
Nenda kaoneshe uwezo wako dunia itakutambua hapo badae ndo mwanzo wa safari yako.
farida ahmadi
Jambo zuri sana
Hope mwaikuka
Hii nimeipenda
Issa
Aend akakuze kipaji
Fatuma kasomo
Sio jambo baya
Omary lukumbi
Sio mbaya hatujamuuza moja kwa moja anaenda kwa mkopo
aisha
Maisha ni popote
Ester mmakasa
Ni furaha kwa mashabiki wake.
warda
Imeniuma sana huyu Dogo kusepa