Meridianbet USSD wakali wa michezo ya kubashiri hawajakuacha ukae kinyonge wanakupa mchongo wa Bodaboda mpyaaaa!! Zikiwa Zimebaki siku mbili tu ili Meridianbet watoe Bodaboda mpyaaaa kwako wewe unaebashiri na wakali …
Makala nyingine
FAST BET: Hivi ulishawahi kwenda kwa mangi kununua bidhaa yeyote ukakutana na foleni ya kufa mtu, au ushaenda benki na sehemu zingine zenye huduma kama hizi, asikwambie mtu bana foleni …
Unaweza kupata ongezeko la ODDS kwa mechi ambazo ziko mubashara ambapo ukiwa na Meridianbet ni rahisi sana kwani kupiga mkwanja ni wazi wazi ukichagua mechi zako ambazo zitakupatia ushindi. …
Uongozi wa KMC FC inayodhaminiwa na Meridian Bet umeingilia kati juu ya uwepo wa taarifa kuwa Yanga wameachana na makocha wao wawili, Nasreedin Nabi na msaidizi wake Cedric Kaze kwa …
Mabingwa wa michezo ya Kubashiri Meridianbet wametoa bonge la zawadi kwa wewe ambae bado hujajiunga na Meridianbet. Sa! sikiliza Meridianbet wanatoa zawadi bomba kabisa ya ukaribisho kwa wewe ambae hujawahi …
Ukiwa na Meridianbet unaweza kuchukua pesa yako muda wowote wakati mechi inaendelea bila ya masharti yoyote endapo umebashiri mechi zako labda za siku hiyo au za wiki ni rahisi sana. …
AGUERO: Sheria kali za Pep Guardiola kuhusu utimamu wa mwili mara moja zilimfanya Sergio Aguero kuchukuliwa kuwa ‘mnene’ sana kuichezea Manchester City. Mshambuliaji huyo wa zamani wa City alijadili wakati …
KLABU ya watoza Ushuru wa Kinondoni KMC FC wameapa kuharibu rekodi ya kutokufungwa kwa timu ya Yanga SC kwenye Ligi kuu Tanzania bara, ambapo klabu hiyo ya YANGA mpaka sasa …
Unaweza kupata ongezeko la ODDS kwa mechi zinazoendelea ukiwa umechelewa kubashiri au umeamua kubashiri mubashara mechi zikiwa zimeshaanza ambapo ongezeko hilo utalipata mechi ikiwa dakika kuanzia 20, 40, 60 na …
Paul Scholes amedai kuwa Jurgen Klopp na Jordan Henderson wametofautiana kutokana na kutokuwepo kwa nahodha wa Liverpool kwenye kikosi chao cha kuanzia. Haya yanajiri baada ya Henderson kuwekwa benchi wakati …
MICHO: Jana wakati mchezo wa watani wa jadi Yanga dhidi ya Simba ulipokuwa ukiendelea, ulishuhudia watu wengi kutoka nchi tofauti wakihudhuria uwanjani kushuhudia mchezo huo wa historia. Miongoni mwa watu …
MCHEZAJI wa Simba Agustine Okrah ambaye ni raia wa Ghana, ametumia mtandao wake wa kijamii kufafanua suala la yeye kushindwa kutengeneza nafasi kwa wachezaji wenzake kwenye mechi ya watani wa …
KLABU ya Simba ilikuwa kwenye hati hati ya kukabiliwa na adhabu kutokana na utovu wa nidhamu kwenye mchezo wao dhidi ya Yanga uliopigwa jana kwenye dimba la Benjamin Mkapa na …
SHINDA: Ebuana eeeh ule mzigo umeshafika kwao, na huu sio wa mwingine ni kwaajili yako kabisa unakusubiri wewe tu. Meridianbet mabingwa wa hizi kazi hapa Tanzania wamekuja na kitu kipya …
Naam mzigo umeshadondoka kwao, na huu sio wa mwingine ni kwaajili yako kabisa unakusubiri wewe tu. Meridianbet wakongwe wa michezo ya kubashiri nchini Tanzania wanakupa fursa. Ukiwa na Meridianbet unaweza …
Mchezo wa Yanga Vs Simba unakaribia kuazna huku vikosi vya timu zote vikiwa vimeshatoka. Kwa upande wa wenyeji wa mchezo Yanga golini ataanza 39 Diarra, 21 Djuma Shabani, 15 Kibwana …
Erik ten Hag alisisitiza kuwa hana majuto kwa kumtimua Cristiano Ronaldo kutoka kwenye kikosi huku kauli za meneja wa United zikiendelea, huku nguli wa United, Gary Neville na Roy Keane …
Manchester City wanaripotiwa kutaka kumsajili winga wa Napoli Khvicha Kvaratskhelia. Kvaratskhelia, ambaye hajulikani aliko kabla ya msimu huu, amevutia vilabu kadhaa maarufu barani Ulaya baada ya kung’ara katika miezi mitatu …
Roy Keane alimtetea Cristiano Ronaldo Jumamosi usiku, akidai kuwa kuondoka kwake dhidi ya Tottenham kulitokana na kuchanganyikiwa kabisa – ingawa hawezi kuona njia ya kurejea Manchester United kwa nyota huyo …
Mabosi wa soka wa Uingereza (FA) wameshutumu kelele za chuki za ushoga kutoka kwa mashabiki wa Manchester United huko Chelsea huku klabu hiyo ya Stamford Bridge pia ikisisitiza kuwa nyimbo …

