Siku moja Bernard Morrison atafunga ukurasa wake kwenye soka la Tanzania, utachagua wewe umkumbuke BM3 kwa lipi, ila binafsi nitaikariri kurasa moja nzuri sana kutoka kwa Benny. Kwenye kitabu chake …
Makala nyingine
Straika wa Ujerumani Timo Werner anajinadaa kurudi katika klabu yake ya zamani baada ya klabu ya Chelsea na RB Leipzig kufikia makubaliano ya kitita cha pauni milioni 25. Timo atatua …
MAMBO ni moto kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu Bara 2022/23 ambapo tayari ratiba ya msimu mpya imewekwa hadharani huku mchezo wa kwanza wa dabi ya Kariakoo unaozikutanisha timu za Simba na Yanga ukitarajiwa kupigwa Oktoba 23, mwaka huu. Jana Jumatano Uongozi wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), ulitangaza rasmi ratiba hiyo ambapo michezo ya mzunguko wa kwanza inatarajiwa kuanza kupigwa Agosti 15, mwaka huu ambapo mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara Yanga wanatarajia kuanzia ugenini dhidi ya Polisi Tanzania Agosti 16, mwaka huu. Simba na Azam wao wanatarajia kuanzia michezo yao ya mzunguko wa kwanza nyumbani ambapo Simba watacheza mchezo wa kwanza dhidi ya Geita Gold, huku Azam waliomaliza kwenye nafasi ya tatu wakianzia nyumbani dhidi ya Kagera Sugar. Michezo ya kufungia msimu wa 2022/23 inatarajiwa kupigwa Mei 27, mwaka 2023 na michezo ya kwanza ya mtoano ‘Play Off’ ikipigwa Mei 31, na michezo ya marudiano itapigwa Juni 3, mwaka 2023. CEO wa TPLB, Almasi Kasongo alisema: “Tunatarajia kuwa na michezo 240 ya mizunguko 30 kwa msimu mpya wa 2022/23 ambapo 120 ni michezo ya …
Jemedari Said Kazumari amekua ni moja ya watu wanaozungumzia kwa ukaribu sakata la manara na TFF kwa siku za karibuni, Leo kupitia kurasa wake wa Instagram ameandika andiko lefu kuhusu …
KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasredine Mohammed Nabi amelilalamikia Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na Bodi ya Ligi kutokana na ratiba yao ya Ligi kuwabana wachezaji kiasi cha kukosa muda wa …
KOCHA Msaidizi wa Namungo, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ amefunguka kuwa katika dirisha hili kubwa la usajili wamechukua wachezaji wazuri kwa ajili ya kuimarisha kikosi chao. Akizungumzia maandalizi yao, Julio amesema kuwa …
OFISA habari wa Yanga, Hassan Bumbuli ameweka wazi kuwa wanajivunia ubora wa mastaa wapya waliosajiliwa ndani ya kikosi hicho kuelekea msimu ujao wa 2022/23 na kuweka wazi kuwa, hawana haja …
BAADA ya kuanza kazi rasmi siku ya Jumapili, kocha msaidizi mpya wa Simba, Sbai Karim ameanza na mkwara mzito ndani ya kikosi hicho baada ya kutambulisha programu nzito ya mazoezi …
Paul Pogba hatosafiri kwenda nchini Marekani kwaajili ya mchezo wa kirafiki wa Juventus dhidi ya Barcelona siku ya Jumanne huko Las Vegas sababu ya kukabliwa na jeraha la paja. Mchezaji …
Mchezaji wa Barcelona Gavi amefunguka jinsi anavyoifurahia timu hiyo baada ya miamba hao wa Uhispania kufanya sajili nzuri na jinsi zitakavyo imarisha kikosi hicho baada ya kumaliza msimu uliyopita bila …
Mchezaji wa Tottenham Ben Davies amesaini mkataba mpya na klabun hiyo mpaka 2025 klabu hiyo ya London Kaskazini imethibitisha. Baada ya Spurs kuwasajili Richarlison, Yves Bissouma na Ivan Perisic sasa …
Klabu ya Barcelona imeifunga timu ya Inter Miami ya Major League Soccer kwa mabao sita bila majibu katika mchezo wa kirafiki wakati huu wa Pre-season wakiwa wanaendelea na ziara yao …
Klabu ya Tottenham Hotspurs imefanikiwa kuinasa saini ya Djed Spence kutoka katika klabu ya Middlesbrough kwa dau linaripotiwa kuwa ni pauni milioni 20. Beki huyo wa alicheza michezo 42 ya …
Borussia Dortmund imeweka wazi kuwa mchezaji mpya wa klabu hiyo Sebastien Haller amegundulika kuwa na saratani ya tezi dume. Haller, 28, alijiunga na BVB mwezi Julai akitokea Ajax baada ya …
Paulo Dybala amesaini kusaini mkataba wa miaka mitatu na klabu ya Roma baada ya mkataba wa mchezaji huyo na Juventus kufika tamati. Roma wamezibwaga klabu za Inter na Napoli kuinasa …
Robert Lewandowski anajiandaa kusaini mkataba wa miaka minne na klabu ya Barcelona kwa dau linaloelezwa kufika euro milioni 50. Uvumi wa kwamba Lewandowski atajiunga na Barca ulianza kabla hata ya …
Bondia Ryan Garcia alipigana vyema dhidi ya mpinzani bora zaidi siku ya Jumamosi kwa kumpiga kwa KO Javier Fortuna katika raundi ya sita kwenye pambano la pauni 140 mjini Los …
Kocha Xavi Hernandez ameshindwa kusafiri na timu kwenda Marekani kutoka Hispania kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao kutokana na sababu za kiutawala Amezuiwa kwa sababu ana rekodi ya kuingia …
Bondia Javier Fortuna amelezea kiu yake ya kutaka kumlambisha sakafu bondia machachari Ryan Garcia katika pambano lao lijalo ambalo limepangwa kufanyika siku ya Jumamosi katika ukumbi wa Crypto.com Arena huko …
Klabu ya Barcelona imethibitisha kumpa kazi ya ukocha wa timu yao ya vijana (Barcelona B) Rafael Marquez ambaye aliwahi kuichezea klabu hiyo. Rais wa Barca Joan Laporta alibainisha mapema mwezi …

