Makala nyingine

Mchezaji wa Barcelona Ousmane Dembele amekabuliana na klabu hiyo kusaini mkataba wa miaka miwili kwa kukubali kupunguzwa kwa mshahara wake. Taarifa zinadai kwamba Dembele atakatwa mshahara wake kwa alsimia 40% …

Christophe Galtier ametangazwa kuwa kocha mpya wa Paris Saint-Germain imethibitishwa na klabu hiyo ya Ligue 1 siku ya Jumanne. Kocha huyo wa zamani wa Nice alikuwa akihusishwa kurithi majukumu ya …

Baada ya Christiano Ronaldo kuomba kuondoka Manchester United basi kumekuwa na uvumi kwamba anaweza kujiunga na klabu ya Chelsea kutokana na tajiri mpya wa klabu kuvutiwa kufanya usajili wa mshambuliaji …

Liverpool wamefanikisha ndoto ya kinda wa Scotland Calvin Ramsay kwa kumsajili kuwa kama msaidizi wa Trent Alexander-Anold akitokea klabu ya Aberdeen. Taarifa zinadai Joe Gomez ambaye alikuwa akisaidiana na Trent …

Klabu ya Monaco imethibitisha kwamba haitamuongeza mkataba mpya kiungo Cesc Fabregas na mkataba wake wa sasa utaacha kufanya kazi mwisho wa mwezi huu. Fabregas(35) ambaye aliwahi kuvichezea vilabu vya Barcelona, …

Klabu ya Southampton haijalala wakati nwa dirisha la usajili majira haya ya kiangazi sasa wamekamilisha usajili wa kumsaini golikipa Gavin Bazunu kutoka Manchester City kwa dau linaloripotiwa kuwa pauni milioni …

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 114 115 116
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.