Golikipa wa Atletico Madrid Oblak amesema kwamba hatima yake katika timu ya Atletico itajulikana baada ya Champions League kumalizika. Golikipa huyo wa Slovenia amekuwa akihusishwa kuuzwa Chelsea baada ya kudumu Atletico Madrid kwa Misimu sita.
Kuelekea mchezo wa robo fainali kwenye michuano ya Champions League ambapo Atletico ataumana na RB Leipzig siku ya Alhamisi, Oblak amesema kwa sasa anaangalia mchezo huo wa robo fainali ikiwa Atletico madrid wanajaribu kuwinda taji la mabingwa wa ulaya kwa mara ya kwanza.
Kushinda kombe la Europa League miaka miwili iliyopita kunaipa shauku Atletico kushinda Champions League msimu huu, ikumbukwe Atletico walishafika fainali kwenye mashindano hayo lakini hawakufanikiwa kutwaa taji hilo la hadhi ya juu msimu wa 2015-16 walipokutana na Real Madrid.

“Huu sio muda wa kuongelea hilo, sasa ni Leipzig,” aliiambia AS wakati alipoulizwa kuhusu uvumi unaendelea juu ya yeye kutua Chelsea.
“Tutajua kwenye mchezo wa mwisho kwa sasa kuna michezo mitatu imesalia, baada ya hapo tunaweza kuzungumza, lakini kwa sasa ni Leipzig nataka kweli tupite hatua hii.
“Wote tuliyopo hapa Lisbon tunastahili ushindi, lakini nadhani wakati wetu unakuja. Ni ngumu kufikiria nyuma ya huu mchezo, tunatakiwa tuwapige Leipzig nakisha tuangalie mambo mengine.
“Pia nitafurahi sana, pia hata katika timu kama tukifanikiwa kushinda Champions League.
Wakati Atletico wakiwa wanajiandaa na mchezo huu kuna mapungufu yalijitokeza kwa baadhi ya wachezaji wao wawili kukutwa na virusi vya Corona wachezaji hao ni mshambuliaji Angel Correa na beki Sime Vrsaljko.
Oblak alisema kila mtu alipata wasiwasi baada ya hali hiyo kujitokeza pia aliongeza kwa kusema “ni aibu” kwamba Angel Correa na Sime Vrsaljko watakuwa nyuma ya Madrid.
Golikipa huyo wa Atletico anaweza kufurahia kukosekana kwa mshambuliaji hatari wa Leipzig aliyetimkia Chelsea Timo Werner.
Lakaini Oblak hakutaka kuongea sana badala yake aliwashauri Leipzig kutafuta mbadala wa mshambuliaji wao huyo aliyeihama timu hiyo.
Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.


Ernest
Sidhani kama Atletico watamuachia kirahisi Oblak
Rehema
Safi san hii makala imetulia kiukweli
Dorophina
oblack angebaki tu atletico
Sadick
Naona tayari Chelsea imeshatupa ndowana ni dalili za kutaka kujiunga Stamford Bridge#meridianbettz
Sauda
Makala safi sana
Ester jackson
Chelsea hapo ridhani kama watamuacha tunasubiri tu mechi iishe tujue nani ameenda na nani anabaki ili usajili uzidi kuwa mzuri
Salma ngende
Mh hapa kazi ipo
aisha
Oblak kama unaona utapata mafanikio sio mbaya nenda tuu sisi mashabiki kila la kheri
Samiah
Duuh kazi ipo
Caroline
Safi sana
Lydia Emmanuel Magoti
Ngoja tujihone hapo
farida ahmadi
Oblack ni kipa mzuri Sana
Povel
Kikubwa pesa Chelsea inabid wawek dau linalowez kuwashawish Atletico Madrid kumwachia oblak
Njiku
Acha tuone mwisho wa uefa
rama
Maoni:ngoja tuone atletico wata muachia aondoke
Fatina mfingi
Duuh
Khadija
du hapo kazi ipo#meridianbettz
Latifa juma mohamed
Makala Safi
Mwajumah
Ngoja tujionee apo#Meridianbettz
Adelta
Mhmh ngoja tuone Kama watakubali
@meridianbettz
Mwanahamisi
Safi sana
Furahav
Habari njema
Fatuma kasomo
Habari njema
neema hassan
Asante kwa makala#meridianbettz
Saupha mohamed
Kazi ipo
Zeiyana
Oblack yupo vizuri
Theonestina
Safi sana
Gabriel
Oblak n kipa mzur sana hawez kuondoka bila kupatikana mbadala wake
Devotha
Atletico hawawezi kumuacha Oblak aende
Venerose
Mko vinzur
Neema
Tusubirie hitimisho
Asia Abdy
Sahihi
Sabrina
Soon Italia chombo ya chelsea
marry
kila kitu mipngo ajipnge
Janeflora malisa
Mipango muhim
magdalena
oblack aende tu chelse akaokoe gurudumu
Angelina
Asante kwa taarifa
Tatu
Asante kwa taarifa
felister
Oblack abaki tu atletico
Rose kapinga
Maamuz yafanyike!!
Hope mwaikuka
Sa itakuaje
David Pere
Sidhani kama Atletico watamuachia kirahisi Oblak kwa maana bado wanamwitaji
warda
Ila Oblak Amekaa sana Atletico#Meridianbettz
Shafii
Oblack karibu Chelsea.