Kocha mkuu wa Paris Saint-Germain Tuchel amekiri kupata wasiwasi kuhusu majeraha aliyoyapata Marco Verratti.
Verratti alikosa mchezo wa PSG wa kirafiki dhidi ya Sochaux siku ya Jumamosi baada ya kuumia akiwa mazoezini.
Hali ya kuwa tayari Juventus itamkosa nyota wake Klyian Mbappe kwenye mchezo dhidi ya Atalanta katika michuano ya Champions League, Verratti pia yupo kwenye shaka kubwa la kukosa mechi hiyo itayochezwa tarehe 12 nchini Ureno.
Tuchel amesema alikuwa na wasiwasi kuhusu Verratti ingawa bado hajapata uhakika wa ukali wa jeraha la kiungo huyo wa Italia.
“Tulikuwa na wasiwasi kwa sababu lilikuwa ni jeraha kubwa,” alisema kwenye mkutano na waandishi.
“Sasa tutasubiri, sijui hasa nini kilicho tambulika, lakini nitaongea na daktari ili tujue kama tatizo litakuwa na ukali kiasi gani.
‘Lakini tuna hofu kubwa.”
PSG watawakabili Atletico Madrid au RB Leipzig katika hatua ya nusu fainali kama wakifanikiwa kuwatoa Atalanta.
Tiketi yako ya kwanza kamwe haiwezi kupoteza ukiwa na Meridianbet. Unarudishiwa 100% ya Tiketi yako ya kwanza.


warda
Daaaaaa!!! itakuwaje sasa?#Meridianbettz
Mwajumah
Duuh pole yake verratti mungu akufanyie wepesi uingie uwanjan#Meridianbettz
aisha
Duuh pole sana tucher utapona kwa uwezo wa mungu
Sauda
Pole sana Tuchel, utapona
Ester jackson
Polen sana mana wrote mnamchango MKUBWA kwenye uwanja
Zeiyana
Wachzaji wengi wamekua na of pale wanapopata majeraha pole sana mpambanaji tuchel
Venerose
Mungu yupo pamoja nawe utapata nafuu
Nasra
Mungu amsaidie
Fatina mfingi
Pole
Adelta
Pole Sana mungu Ni mwema utapona
#meridianbettz
Mwanahamisi
Mungu amsaidie
Sadick
Majeruhi ya Marco Verrati yanaweza kugharimu nafasi ya PSG kusonga mbele#meridianbettz
Caroline
Msiwe na hofu Kila kitu kitakua sawa
Rehema
Bonge la makala
sauda
Pole yake, atapona
Khadija
duuh pole sana#meridianbettz
Lydia Emmanuel Magoti
Duu pole Sana Tuchel utapona
Dorophina
Pole yao kwenye mechi hii wanamchango mkubwa sana sijui itakuwaje
magdalena
kiungo akiwa na mchango mkubwa katika timu akiumia lazima wengine wapate mawazo
Flomena
Sasa tutasubiri, sijui hasa nini kilicho tambulika, lakini nitaongea na daktari ili tujue kama tatizo litakuwa na ukali kiasi gani.
Nasra
Hili ni pengo kwa PSG
farida ahmadi
Pole Sana itakuwa pengo kubwa Sana kwa PSG
Gabriel
Duuuh! Habar ya kusikitisha sana kwa club ya PSG
Saupha mohamed
Daah pole yao PSG
Devotha
Daah hizi ni habari mbaya
Frank
Kama kademu ila uwanjani shughuli yake sio ya kitoto
Fatuma kasomo
Polee sana
Amiri Kayera
Mungu amsaidie t
Zuhura omary kindamba
Pole sana kijana ucjali utapona tu
Ester mmakasa
Daah! Pole sana kwake ,mungu amfanyie wepesi alone upesi.
Sabrina
Pole bhana utakaa sawa tu
Janeflora malisa
Pole sana
Latifa juma mohamed
Get well soon.
David Pere
Atapona tu na ataingia uwanjani na kuisaidia timu yakee
Samiah
Nipengo kubwa kwa psg
felister
sa itakuaje
Tatu
Habari mbaya kwa mashabiki wa mpira
Shafii
Majeruhi ndio yanayo poteza kiwango kizuri cha Marco verat.
Tahiya
Mungu amsaidie
Hope mwaikuka
I feel sorry for him