AC Milan Kununuliwa na Wamarekani
Klabu ya AC milan inakaribia kununuliwa na kampuni ya uwekezaji kutoka marekani ya RedBird kutoka kwa hedge fund Elliott, chanzo cha habari ni kutoka nchini Italia waliwaambia Reuters. Shirika la …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Klabu ya AC milan inakaribia kununuliwa na kampuni ya uwekezaji kutoka marekani ya RedBird kutoka kwa hedge fund Elliott, chanzo cha habari ni kutoka nchini Italia waliwaambia Reuters. Shirika la …
Klabu ya Ac Milan wamekubaliana na mlinzi wa klabu ya LOSC Lille Sven Botman kuhusu uhamisho wake ambapo wiki iliyopita walikuwa na mazungumzo na klabu yake kuhusu uhamisho wa wachezaji …
Mshambuliaji wa AC Milan Olivier Giroud anaripotiwa kukataa ofa kutoka kwa vilabu vingi, wakiwemo Manchester City na Tottenham Hotspur ili kusaini Milan msimu uliopita wa joto. Mchezaji huyo mwenye umri …
Matteo Gabbia amekubali kuongeza mkataba na klabu ya Ac Milan mpaka mwaka 2026, ijapokuwa bado ana mkataba na klabu hiyo mpaka mwaka 2024. Mlinzi huyo mwenye miaka 22 wa kiitaliano …
Zlatan Ibrahimovic bado haonyeshi dalili zozote za kustaafu kucheza soka baada ya nyota huyo kutaka kusaini mkataba mpya na klabu ya AC Milan baada ya kuifungia Milan bao la ufunguzi …
Tetesi zinasema, Manchester City itapaswa kuongeza juhudi kumpa mkataba wa muda mrefu winga wa England Raheem Sterling, 26 ambaye anahusishwa na Barcelona, ili aweze kusalia klabuni hapo. Manchester United …
Klabu ya AC Milan imeripotiwa kuingia kwenye orodha ya vilabu vinazowania saini ya mshambuliaji wa Arsenal Nicolas Pepe. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Ivory Coast amekuwa na wakati mgumu kuendana …
Mechi kali leo kati ya AC Milan dhidi ya mahasimu wao wa jiji Inter Milan katika dimba la San Siro katika Serie A na inakuwa ni Milan Debi ya 229. …
Mshambuliaji wa Ac Milan Oliver Giroud anahitaji kuvaa ‘Scudetto’ medali ya Seria A akiwa na miamba ya Rossoneri. Mshindi huyo wa ligi ya mabingwa 2020-21 akiwa na Chelsea kabla ya …
Kiungo wa kati wa Milan Brahim Diaz amepima na kuapatikana na virusi vya coronavirus kabla ya mechi ya Serie A dhidi ya Hellas Verona siku ya Jumamosi. Diaz, 22, anajisikia …
Zlatan Ibrahimovic na Olivier Giroud hawajajumuishwa kwenye orodha ya kikosi cha AC Milan kwa ajili mechi ya leo dhidi ya Juventus, wakati Mike Maignan akirejea. Kwa mujibu wa La Gazzetta …
Brahim Diaz yuko mbioni kujiunga tena na AC Milan kutoka Real Madrid kwa mkataba wa mkopo wa miaka miwili. Mchezaji huyo atawasili Italia wikiendi hii na kukutana na timu ya …
Nyota wa AC Milan, Zlatan Ibrahimovicameripotiwa kuwepo kwenye mawasiliano na mtaalamu juu ya matibabu yake ya goti.Taarifa zinasema staa huyu anajaribu kufanya tahmini kama aendelee na matibabu ya kawaida au …
Klabu ya AC Milan inaripotiwa kuwa haina mpango wa kumuuza nyota wake Alessio Romagnoli katika msimu huu wa uhamisho wa kiangazi. Kapteni huyu amekuwa na changamoto ya mda wa kucheza …
Klabu ya AC Milan wanataka kumsajili moja kwa moja mchezaji wa Chelsea Fikayo Tomori ambaye yupo na miamba hao wa Italia kwa mkopo Stefano Pioli amethibitisha. Tomori alitua Milan …
Milan wanamuhitaji nahodha wao Zlatan Ibrahimovic ambaye anaonekana kuwa kwenye sintofahamu ya kuwepo kwenye mechi dhidi ya Benevento Jumamosi. Nyota huyu raia wa Sweeden ameimarika kutoka katika majeraha aliyokuwa anayauguza …
Nyota wa AC Milan, Zlatan Ibrahimovic amesherekea mkataba wake mpya kwa kusema kuwa kwa namna anavyojihisi kuwa klabuni hapo, anaweza kusalia klabuni hapo maisha yake yote. Nyota huyu mwenye miaka …
Kocha wa AC Milan, Stefano Pioli amesema mshambuliaji wake Zlatan Ibrahimovic amekanusha kumtukana refa Fabio Maresa baada ya kuonyeshwa kadi nyekundu dhidi ya Parma. Ibrahimovic alianza katika kikosi hicho …
Fowadi wa Milan, Mario Mandzukic amekuwa akipambana na majeraha tangu aliporejea Italia na Rossoneri (Milan) wanaripotiwa hawana mpango wa kuongeza mkataba wake. Mshambuliaji huyo wa zamani wa Juventus alirudi Serie …
Fikayo Tomori ana hamu sawa ya kumfurahisha nguli wa Milan Paolo Maldini kama mshambuliaji yeyote atakavyopata kibali na Lionel Messi. Mlinzi wa kati wa mkopo wa Chelsea ana hamu ya …