U 23 Tayari Kuvaana na Nigeria

TIMU ya Taifa ya wanaume ya U 23 ipo tayari kucheza dhidi ya timu ya taifa ya Nigeria kwenye mchezo wa kufuzu AFCON ya vijana.

TU 23 imesafiri mpaka Nigeria katika kutafuta tiketi ya kuliwakilisha taifa kwenye mashindano ya mataifa ya Afrika, ambapo wanatarajiwa kucheza mchezo wao wa marudiano mapema kesho Jumamosi nchini Nigeria.

 

U 23 Tayari Kuvaana na Nigeria

Timu hiyo imefanya mazoezi ya mwisho ya kujiandaa na mchezo huo mara baada ya mcehzo wa kwanza uliopigwa kwenye dimba la Benjamin Mkapa kumalizika kwa sare ya 1-1 ambapo mshindi wa jumla atafanikiwa kufuzu AFCON.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.