Mchezaji mpya wa Bayern Munich Leroy Sane amesema kuwa dili ya Kai Havertz kuhamia Chelsea ni kama imekamilika. Havertz mwenye umri wa miaka 21 anatarajia kuondoka katika timu ya Bayer …
Makala nyingine
Birmingham City wameamua kustaafisha namba 22 ambayo ni jezi aliyokuwa akitumia kinda wao Jude Bellingham. Kiungo huyo alikua mchezahi ghali zaidi duniani mwenye umri wa miaka 17 baada ya Borussia …
Borussia Dortimund imeona hakuna uhitaji wa kufanya usajili kwaajili ya kupata mbadala wa Erling Haaland ambaye amekuwa na kiwango bora kabisa tangu atue klabuni hapo. Mshambuliaji huyo wa kimataifa kutoka …
Juventus wapo katika mipango ya kutaka kumchukua aliyekuwa kocha wa Tottenham Mauricio Pochettino ili kuchukua nafasi ya Maurizio Sarri ndani ya klabu hiyo inayotumikiwa na mchezaji nyota Ronaldo . Taarifa …
Frank Lampard amepuuza kuendelea na mchakato wa kunasa saini za wachezaji wakati wa dirisha la usajili ikiwa klabu hiyo ya Chelsea ilikuwa karibu kumsajili Kai Havertz. The Blues wakiwa wamekamilisha …
Leeds United tayari wamepanda Ligi Kuu ya Uingereza na historia inaonyesha mara ya mwisho ya wao kushiriki ni msimu 2003/04. Leed United wana taji la Ligi ya Uingereza wakati huo …
Kiungo wa Kimataifa wa Uhispania, Thiago Alcantara yupo mbioni kujiunga na mabingwa wa Premier League, Liverpool baada ya kocha mkuu wa klabu hiyo, Jurgen Klopp kusisitiza kusajiliwa kwa mchezaji huyo …
Basi ni Meridianbet pekee inakupa Bonasi ya Milioni 300 kwa Jackpot ya timu 15 tu, usisubiri tena Piga *149*10# kwa Tigo pekee ufurahie Jackpot kubwa zaidi Tanzania. Usikae kinyonge kila …
Leroy Sane atawapa furaha sana Bayern Munich, hii ni kwa mujibu wa mchezaji mwenzake wa zamani wa Schalke Joel Matip. Bayern Munich mwezi uliopita walikamilisha dili ya muda mrefu ya …
Kiungo wa Klabu ya Birmingham City, Jude Bellingham amesafiri kwenda nchini Ujerumani kukamilisha uhamisho wake wa rekodi kujiunga na Borussia Dortmund. Anaamini kupata mafanikio kama ambavyo kapata Muingereza mwingine klabuni …
Winga wa Wales, Rabbi Matondo ameomba msamaha baada ya kupigwa picha akiwa amevaa jezi ya wapinzani wa klabu. Matondo, 19, mchezaji wa Schalke alifanya mazoezi na jezi ya Borussia Dortmund. …
Zinedine Zidane kocha mkuu wa timu ya Real Madrid ametuma salama za heri ya siku ya kuzaliwa kwa mchezaji wa kimataifa kutoka Colombia James Rodriguez kwa kusisitiza kuwa atakuwa na …
Klabu ya kandanda ya Hertha Berlin inalenga kurejea katika ligi kuu ya soka ya Bundesliga msimu ujao tofauti na harakati zake katika msimu uliopita, amenukuliuwa akisema Rais wa klabu hiyo, …
Ripoti zinasema Chelsea imefanya mazungumzo na wakala wa Kai Havertz ili kumshawishi nyota huyo raia wa Ujerumani atue Chelsea. Lakini pia kuna taarifa kwamba nyota huyo ameshaiambia klabu yake kwamba …
Borussia Dortmund huenda wakampoteza staa wao Jadon Sancho sokoni ambaye amehusishwa na klabu kadhaa. Man United wamekuwa wakihusishwa naye zaidi. Mkurugenzi wa michezo wa klabu ya Dortmund Michael Zorc amesema …
Kai Havertz anatamani kujiunga na Chelsea majira ya kiangazi na haitaji kuendelea kutumikia Bayer Leverkusen kwa msimu mwingine. Havertz ni moja ya viungo bora Ulaya kwasasa na kuvivutia vilabu kama …
Mario Mandzukic ni mchezaji huru baada yakuthibitisha kuvunja mkataba wake na timu ya Al-Duhail. Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 34 raia wa Croatia alilazimika kwenda Qatar mwezi Disemba baada …
David Alaba bado hajakubali kuongeza mkataba na Bayern Munich, lakini kocha Hansi Flick amesema itakuwa maalumu kama atamaliza kucheza soka lake akiwa Allianz Arena. Dili ya Mchezaji huyo wa kimataifa …
Liverpool ni kati ya vilabu kadhaa vya Uingereza ambavyo vitakuwa na skauti ambao watahudhuria fainali ya kombe la Ujerumani, inaripotiwa kwamba Leon Bailey atakuwa mmoja wa wachezaji kwenye rada yao. …
Robert Lewandowski amevuka magoli 50 kwa msimu wakati Bayern Munich walipoichapa Bayer Leverkusen kutwa taji la 20 la Kombe la Ujerumani na ni mara ya 13 kushinda mataji mawili ya …

