Roman Bürki Ndio Mbadala wa Kepa Arrizabalaga Chelsea

Chelsea wanajiandaa kufanya uhamisho wa kwa kipa wa Borussia Dortmund, Roman Bürki kama mbadala wa Kepa Arrizabalaga, kulingana na ripoti.

Roman Bürki alijiunga na Borussia Dortmund mwezi Juni mwaka 2015 na kufanya vizuri kwenye msimu wa mwaka 2015-16 hususan kwenye mechi ambayo Borussia Dotmund ilimchapa mpizani wake Borussian Monchegladbach kwa magoli 4-0. na kumaliza msimu ule kwa kutokufungwa Mechi 15.

Kepa Arrizabalaga alisainiwa kwa pauni milioni 71.6 mnamo 2018, Amekuwa na kiwango cha chini msimu huu na kupigishwa benchi na kocha wake Frank Lampard kwa michezo mitano ya PL kabla ya janga la coronavirus kusitisha msimu.

Kepa Arrizabalaga

Kipa wa Ajax, Andre Onana amehusishwa sana na kuhamia Stamford Bridge na inaonekana mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24 , Anatarajia kuondoka katika klabu hiyo ya Uholanzi kwenye dirisha linalofuata la uhamisho… Lakini kulingana na The Sun, Chelsea sasa wanalenga kumnasa kipa huyo Namba moja wa Dortmund na timu ya taifa ya Uswisi

27 Komentara

    kepa ujeuri wake umemponza sasa

    Jibu

    Bora aondoke akabadilishe mazingira

    Jibu

    Aende tu

    Jibu

    Chelsea walikuwa na kila haja ya kutafuta golikipa mwingine

    Jibu

    aende akaangalie sehemu nyingine mbele ya safariii

    Jibu

    Ni vyema kujaribu bahati yke klabu nyingine

    Jibu

    Kambi popote check tu masilai kama pesa ipo nenda tu

    Jibu

    Kepa wa bilbao ndio alikuwa kipa mzuri sana ila huyu wa Chelsea ni pazia tu

    Jibu

    Chelsea wanatapatapa tuuu

    Jibu

    Chelsea wasijali mambo yatakua mazuri

    Jibu

    Aondoke tu kwakwel

    Jibu

    Wakimpata huyo kipa watakuwa wameramba dume …moja ya makipa wa Bora kwa sasa katika ligi ya ujeruman#meridianbettz

    Jibu

    Watakuwa wamepata kipa mzuri sana wachangamke sasa tunataka vitu tofauti sana Chelsea

    Jibu

    Kepa alikuwa wa zamani lkn sio sasa

    Jibu

    Amekuwa na kiwango cha chini msimu huu na kupigishwa benchi na kocha wake Frank Lampard

    Jibu

    Bora aondoke maana kepa bado anadaka chini ya kiwango

    Jibu

    roman yuko vzur anajielewa kwa kwel

    Jibu

    Kepa yupo vzr sema mazingira na kutoelewana na kocha darajan thnks meridian bet to

    Jibu

    Tatizo ujeuli ndo umemsababisha atafutiwe mbadala

    Jibu

    Aende tu

    Jibu

    Lakini kulingana na The Sun, Chelsea sasa wanalenga kumnasa kipa huyo Namba moja wa Dortmund hatari sana

    Jibu

    Aende tu hawanafaidanae

    Jibu

    Kepa ni golie mzuri apewe muda.
    Inawezekana mambo yanayotokea kwenye vyumba vya kubadilishia nguo ndio yanamuweka benchi vinginevyo yupo vizuri#meridianbettz

    Jibu

    Hana jipya

    Jibu

    Huyu kipa yuko vizuri

    Jibu

    Ila mie nilikuwa namkubali sana #Meridianbettz

    Jibu

    huyo kipa watakuwa wameramba dume …moja ya makipa wa Bora kwa sasa katika ligi ya ujeruman

    Jibu

Acha ujumbe