Nchini England, Kufuatia barua ya wazi iliyoandikwa na mshambuliaji Marcus Rashford kwenda kwa Wabunge, Serikali nchini humo imetangaza rasmi kufanya mabadiliko na kupitisha mapendekezo kuendelee kuwapatia chakula cha bure wanafunzi wote ambao wanatoka katika familia duni.
Zaidi ya watoto milioni 1.3 watapata vocha za bure za chakula wakati wa likizo katika msimu wa joto, mabadaliko hayo ni matunda ya kampeni iliyoendeshwa na Marcus Rashford.
Katika barua yake ya wazi kwenda kwa Wabunge aliyotuma jana Jumatatu, mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 22 akusita kuelezea uzoefu wake mwenyewe kipindi anasoma kwani alikuwa akitegemea chakula cha bure kinachotolewa shuleni.
Serikali itaendesha mpango huo kwa utaratibu wa kutoa msaada wa dola 15 kwa wiki kwa kila mtoto, na utagharimu zaidi ya dola milioni 120 (Bilioni 350) kwa kipindi chote cha likizo.
Sadick
Rashford amekua kitendo cha kukumbuka alikotoka. Na hivi ndivyo tunapaswa kuwa#meridianbettz
Magdalena
Rashford namkubal Sana anajua kujituma
Ernest
Well done Rashford for your good Heart to others.
Dorophina
Amefanya kitu kizuri na Ni mfano wa kuigwa na watu wote wenye uwezo
Rehema
Rashford Yuko vizuri sn tena anajituma
lombo
wazo zur sana hilo
Mwanaidi
safi sana
Antony Luseno
Hii imekaa vizuri sana,kumbe sio uwanjani tu yupo vizuri adi maswala ya kijamii maana wengine hawakuliona hili asa wachezaji
David Pere
Kweli dogo ashakua mpka maoni yake uamefanyiwa kazi
Fatuma kasomo
Namkubali yupo vizur
Elika
Safi sana marcuz hakika mungu alisikia maombi yako
Leticia
Rashford yuko vizuri
Issa
Rashfold wazo zuri kusaidia wasiojiweza
Genia Sikaluzwe
Ni Jambo jema sana
Ester jackson
Safi sana inafaa kuigwa kwa watu wengine
Sabrina
Maoni:safi sana Marcus Rashford napenda sana mtu anaojali wengine.
Caroline
Vizur sana
felister
safi rashford mwenyezi akuongezee pale ulipopungukiwa
Gabriel
N jambo jema alilolifanya star huyu Rashford
Mwanahamisi
Rashford namkubali sana
isha
Yuko vizuri namkubali sana
Haulath/Lath graaffix
Well ✅
Khadija
Rashford yupo vzr sana#meridianbettz
Janeflora malisa
Vizr
christopher
vizuri sana , inapendeza kama hivyo
Hamidu
Kwa wachezaji wa bongo.. Rashford ni mfano wa kuigwa#meridianbettz
Hope mwaikuka
Ubarikiwe kwa moyo huo
Neema hassan
Rashford mchezaji mahiri..
Shafii
Wanasema msanii ni kioo cha jamii kumbe hata kwa wachezaji au wanamichezo ni mfano wa kuigwa Kama rashford katika kuisaidia jamii inayo tuzinguka
Povel
Well🤝🤝🤝🤝
Frank Patrick
Moyo wa kujitoa kama public figure bila kujijali binafsi
Mwajuma
Nimfano wakuigwa
mwakalosi
najaribu kuvuta picha hii ingekuwa hapa kwetu huyu mkojani ndio katoa waraka wake huo nawaza tu jinsi wenzetu wanavyojali influencer
Devotha
Hongera sana kijana
Zeiyana
Ni jambo LA furaha sana hata kwake mwenyewe kuona serikali ya uingereza imefuata ushauri wake
warda
Rahidi yupo vizuri sana#Meridianbettz
Theckla
Habari njema
Evaluziga
Rashford namkubali
Salma
Safi sana
Emmy cleopa
Habar njema