Ni vizuri kusema kwamba wote wa wili wamekubaliana kupigna mapambano ma wili.Promota Eddie Hearn amesema Anthony Joshua na Tyson Fury wamekubaliana kwa kufuata utaratibu kupanda uringoni kwa mapambano mawili mwaka ujao 2021.

Wacheza masumbwi hao wa uzito wa juu ambao wote ni raia wa Uingereza wanatarajia kupanda uringoni majira ya kiangazi mwaka ujao, Eddie amesema tupo kwenye maandalizi makubwa lakini bado kuna vitu tuna kabiliana navyo, tuna tafuta ukumbi pia tuna tathimini tarehe ya mapambano huu.
Hatuja fanya maswala ya mikataba sababu bado kuna vitu tuna tuna vifanyia kazi ,hili litakua kubwa ambalo halijawahi kutokea kwenye historia ya wanamasumbwi wa wa kiingereza na inawezekana lisitokee tena kwa kizazi hiki.
Fury hajapoteza pambano lolote kwenye uzito wa juu na Joshua anashikilia mikanda yenye cheo cha IBF,WBA na WBO ,Kabla ya kupanda uringoni kuzichapa Fury ana kandarasi ya kumkabili Dentoy Wilder mwanamasumbwi wa marekekani aliye mchapa kwenye pambano lao lililo pita hii itakua pamabano la mara ya tatu, wakati Joshua pia atakua na kibarua cha kumkabili Kubrat Pulev.

Tuna angalia ni namna gani tunaweza kuandaa ratiba ya pambano kwa mwaka ujao 2021, pande zote mbili wamesha kubaliana kwaajili ya pambano, ni pambano ambalo halijawahi kufanyika kwenye aridhi ya uingereza.
Fury alithibitisha kupigana na Joshua mwaka ujao kupitia mitandao yake ya kijamii aliandika Dili ya mapambano mawili Fury vs Joshua. Tatizo moja? Namdondosha Wilder kisha naenda kumkabili Joshua mwaka ujao lakini nina tatizo lipo njiani anaitwa Wilder.


Ester jackson
Litakuwa bonge la pambano natumaini Joshua lazima amuangushe fury
Hope mwaikuka
💪💪
Povel
Habar njema kwa wapenda masubwi
Gabriel
Hii mechi inakuwa pambe sana ukiangalia Joshua yuko vzuri na ameshachukua mikanda IBF WBC nk
Theonestina
Habari njema kwetu sisi mashabiki
Elika
Mi nasubir kuona nani bingwa
David Pere
Nakuomba mungu anifikishe mwakani ili nilishuhudie Hilo pambano la Wana UK
Evaluziga
Joshua atakula kichapo
Tahiya
Utakuwa ni mpambano wa kukata na shoka huo
Rehema
🤸🤸🤸🤸
Mwanaidi
Hilo litakuwa bonge moja gemu
Antony Luseno
Hili pambano kila mtu analisubiria kwa hamu
felister
hili pamabano litakua la kukata na shoka
Genia Sikaluzwe
Joshua lazma ashinde
Caroline
Aisee hii si ya kukosa
Hamidu
Ngumi jiwe! Tusubil na kuona#meridianbettz
Dorophina
Habari njema kwa wapenzi wa masumbwi mpambano utakuwa wakukata na shoka
Samiah
Wapenzi wa masumbwi nihabari njema
Zeiyana
Wa wili hao wanatafutana sana litakua pambano la kukata na shoka kila mtu hanamvizia nwenzake
Amani
Litakuwa bonge la pambano
Furahav
Tyson fury yuko bomba sana.
Theckla
Pambano litakuwa kali
isha
Duuh mimi nasubili nione love
Ernest
Sio pambano la kukosa hili tunataka kumjua mbabe halali
Shafii
Duh kwangu ni ngumu kutabili Nani ataibuka kidedea pambano gumu Sana
Sadick
Ndondi mchezo wa kusisimua sana. Tunasubiri kuona badamu banamwagika #meridianbettz
mwakalosi
joshua hamuwez fury, fury kanipigia klisctkok kwenye ubora wake
Salma
Joshua ajawah kuniangusha
lombo
duh mambo ya masumbwi anton yuko vzur
Emmy cleopa
Daaah yani ili pambano litakuwa Kali sana
Magdalena
Pambano Kali Sana ili
Asia Abdy
Tunaisubiria sana pambano kali sana hilo
warda
Woyooo itakuwa ni balaaa#Meridianbettz
Agness
Habari njema kwa sisi wapenda ngumi
Lydia Emmanuel Magoti
Habari nzuri meridian huo mpambando utakuwa atari