Rebecca Welsh: Mwanamke wa Kwanza Kuchezesha FA Cup

Rebecca Welch anakuwa mwanamke wa kwanza kuchezesha michuano ya FA Cup kwa upande wa wananaume ambapo atachezesha mchezo kati ya Birmingham City dhidi ya Plymouth Argyle kwanye michezo ya mzunguko wa tatu January 8 2022.

Hii sio mara ya kwanza kwa Rebecca Welch kuwa mwanamke wa kwanza kuchaguliwa kuchezesha michezo awali alishawa kuchezesha mchezo wa ligi ya uingereza kati ya Port Vale dhidi ya Harrogate mchezo uliosha kwa Port Valekushinda 2-0.

Rebecca

Fearn ndiye mwanamke wa kwanza kuchezesha mchezo wa ligi ya Uingereza baada ya kufanyika mabadiliko kutokana na refarii aliyekuwepo kuumia mwaka 2010, lakini Rebecca Welch ndie mwanamke wa kwanza kuchaguliwa kuongoza michezo ya ligi.

Rebecca Welch awali alikuwa ni mfanyakazi “National Health Service” nchini Uingereza na alifanikiwa kuwa refarii mwaka 2010 lakini aliamua kuendela na kazi yake ya huduma za afya mpaka mwaka 2019.


KUWA MILIONEA MSIMU WA SIKUKUU NA SAHARA RICHIES

Unaanzaje siku yako katika msimu huu wa sikukuu, mchongo upo meridianbet kasino. Sloti pendwa ya Sahara Richies inaweza kukufanya ukawa milionea katika kufunga mwaka huu, Jiunge na ufurahie kasino maridhawa kutoka nyumba ya mabingwa.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.