Oliver Kahn: Ronaldo Hawezi Fit Kwenye Mfumo Wetu

Mkuregenzi wa klabu ya Bayern Munich Oliver Kahn ameweka wazi kuwa klabu hiyo ilifanya majadiliano kuhusu kumsajiri mshambulia wa kimataifa wa Ureno anayeichezea klabu ya Man Utd Cristiano Ronaldo ikiwa atafit kwenye mfumo wa timu hiyo.

Cristiano Ronaldo aliandika barua ya kuomba kuondoka kwenye klabu hiyo ili aweze kushiriki michuano ya klabu bingwa Ulaya, na vilabu mbalimbali vilihusishwa na kuhitaji huduma yake huku klabu ya Bayern Munich ikiwemo.

“Tulilizungumzia hili swala vinginevyo tusingekuwa tunafanya kazi yetu vizuri. Mimi namchukulia Cristiano Ronaldo moja ya wachezaji bora kuwai kuwepo kwenye hii dunia.

“Lakini tulikubaliana kwamba licha ya kumkubali Ronaldo , asingeweza kuendana na mfumo wetu wa sasa.” Alisema Oliver Kahn

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.