Harry Maguire Bado Yupo Sana Manchester United.

BEKI kitasa wa Manchester United Harry Maguire ambaye hivi karibuni alihusishwa na kutakiwa Chelsea kwa mabadilishano ya mchezaji Christian Pulisic lakini kwa taarifa zilizopo ni kwamba hakuna mazungumzo yanayoendelea kari ya pande hizo mbili.

Taarifa iliyotolewa na moja ya waandishi wakubwa Fabrizio Romano ameandika kuwa hakuna makubaliano kati ya Manchester United na Chelsea kuhususiana na beki huyo, hivyo Maguire ataendelea kusalia Manchester United.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.