Ole Atengewa Fungu la Usajili

Kaimu Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Manchester United, Ed Woodward, amekubali kutoa kiasi cha pauni 140m, kwa kocha Ole Gunnar Solskjaer, kuhakikisha anafanya usajili wa kutisha kuelekea msimu ujao.

Klabu za Premier League tayari zimeanza kufanya usajili baada ya dirisha kufunguliwa Julai 27, mwaka huu huku likitarajiwa kufungwa Oktoba 5, mwaka huu.

Man United itatumia kiasi cha pauni 140m, kwa ajili ya usajili, hii ni baada ya timu hiyo kufanikiwa kuingia katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao kutokana na kumaliza nafasi ya tatu ndani ya Premier League. Kitendo cha Man United kutinga michuano hiyo ya Ulaya, itakusanya kiasi cha pauni 120m.

Man United katika usajili mipango yao mikubwa ipo kwa Jadon Sancho wa Dortmund ambaye dau lake ni pauni 100m na Jack Grealish kutoka Aston Villa, thamani yake ni pauni 75m. Katika hatua nyingine, Man United wana mpango wa kuwauza nyota wake akiwemo Chris Smalling, Alexis Sanchez, Phil Jones, Jesse Lingard, Diogo Dalot, Timothy Fosu-Mensah na Andreas Pereira.


Nini kinachokupa raha kama michezo ya kasino ya mtandaoni? Hasa unapojua kuwa kuna ushindi, jackpot na mizunguko kibao ya bure.
Ungana na bwana Meridian kupata ushindi na burudani.

Cheza Hapa Sasa

38 Komentara

    Wamejiandaa vyakutosha kweli wanataka kuimalisha timu yao united wako vizuri hawataki masihara

    Jibu

    Wamejipanga vizuri

    Jibu

    Sioni kama Man inahitaji kutumia fedha nyingi kununua wachezaji msimu huu#meridianbettz

    Jibu

    Ole afanye kweli united imemuamin

    Jibu

    Itapendeza Sana Kama watampata sancho

    Jibu

    Wamejipanga vizuri sana

    Jibu

    Habar njema

    Jibu

    Habali njema

    Jibu

    Goodupdate

    Jibu

    Safi sanaa maana atasajiki wachezaji wenye kuisaidia timu take vizuri na kupata mafanikio yanayostahili kwake

    Jibu

    Itapendeza Sana Kama watasajili wacheji wa kiwango cha juu kwani msimu uliupita walikuwa hovyiyo sana

    Jibu

    Ole asikulupuke kununua wachezaj bora pesa yake ikamate player wa maana sio majina

    Jibu

    Man u wamejipanga vizuri kweli

    Jibu

    Wamejipanga vizuri sana#Meridianbettz

    Jibu

    Good news # meridianbettz

    Jibu

    Wamejipanga vizuri

    Jibu

    Pesa nyingi Sana izo awe makini katika kusajili wachezaji walio bora

    Jibu

    Habari njema#meridianbettz

    Jibu

    Wachezaji wa man u mbona wapo vizuri.haina haja ya kutumia pesa nyingi kusajili

    Jibu

    Wamejipanga vizuri sana

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Ni wazi makocha vijana katika ligi ya uingereza wamekuja na staili ya kutaka kujenja kwanza vikosi vyao ili kupambana katika kuweka rekodi ambapo ni jambo zuri na ni dei pia kwa club na mashabiki.

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Ni wakati wake sasa wa kutengeneza kikosi cha ushindani msimu ujao.

    Jibu

    Hitakua vizuri wakihimarisha na kikosi pia kwa mtazamo wangu Sancho yupo vizuri hatawafaa kama wakimsajili

    Jibu

    Habar njema kwa mashabik wa united

    Jibu

    Kama inawezekana sio mbaya!!

    Jibu

    itakua vizuri kama wakisajili wachezaji wenye viwango vya juu

    Jibu

    Wamejipanga vizuri sana #meridianbet

    Jibu

    Itakua poa sana

    Jibu

    Mmmh man hii itakuwa poa sana.

    Jibu

    Asajir wachezaji wazur

    Jibu

    Wamejipanga vizuri

    Jibu

    Mpango mzurii

    Jibu

    Itakuwa poa

    Jibu

    Wako vizuri

    Jibu

    Afadhali bwana atengewe mana hatuko poa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.