Kocha wa Paris Saint-Germain Thomas Tuchel anatarajia kuwa na Klylian Mbappe katika kuwakabili Nice siku ya Jumapili.
Mbappe bado hajaanza kucheza tangu kuanza kuanza kwa msimu mpya 2020-21 baada ya kugundulika ana maambukizi ya COVID-19 mapema mwa mwezi huu.
PSG walipoteza michezo miwili ya ufunguzi katika Ligue 1 lakini wamefanikiwa kusafisha njia kwa kuwafunga Metz 1-0 ushindi wa dakika za lala salama siku ya Jumatano.
Tuchel alisema anatumaini la uwepo wa Kylian Mbappe katika mechi ijayo dhidi ya Nice, Mbappe alifunga magoli 30 msimu uliyopita.

“Kylian anajihisi vizuri sasa, hana dalili tena za COVID-19,”alisema.
“Alikutwa na maambukizi ya Corona baada ya kufanyiwa vipimo lakini hana dalili tena. anafanya mazoezi binafsi.
PSG itamkosa nyota wao Neymar, leandro Paredes na Layvin Kurzawa baada ya watatu hao kutolewa kwa kadi nyekundu kwenye mchezo ambao PSG walipoteza dhidi ya Marseille wikiiliyopita.
Wakati Kurzawa amefungiwa mechi sita Neymar na Paredes wamepokea adhabu ya kuikosa michezo miwili ingawa adhabu kwa Muarjentina huyo imemshangaza sana Tuchel.
SHINDA NA MERIDIANBET!
Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.
Cheza Sasa.


Johnmary joel
Habari nzuri hizo#meridianbett
Adelta
Good 👍@meridianbettz
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri mbappe atapambana kwajudi zake zote
Gabriel
Habar njema sana kwa mashabiki wa PSG kurud kwa mbappe maana kulikuwa na pengo kubwa sana
felister
bora mana tuchel kichwa kilikua kinamuwaka moto
Dorophina
PSG walikuwa na gepu kwa kukosekana mchezaji mahiri mbappe akiwepo kwenye mchezo huu itakuwa poa sana
Mariam mtandama
Safi
Mwanahamisi
Safi sana
Hidaya
Habari chema kwa mashabiki wa PSG
Angelina
Safi
lombo
asante meridianbet kwa habar moto moto
Mwajumah
Safi sana
Caroline
Mungu ni mwema
aisha
Mbappe ni mchezaji mwenye mchango mkubwa sana
Shani
Fantastic
Tatu
Tuchel toka apate kipigo cha double mechi mbili mfululizo naona hana amani bora mbappe aludi ulingoni
Fatina mfigi
Safii
Samiah
Safi
Zeiyana
PSG bado wanaali ngumu tu hata kama mbappe hatakua fiti kwa kipindi ukiangalia mbappe hana majeraha amabyo yanamsumbua kwa mda huu
Juliet
Good news
Janeflora malisa
Nice
Fatuma kasomo
Habari njema
Neema
Muujiza kutoka kwa Mungu huo
Theckla
Tuchel hupaswi kukata tamaa ni mapema mno ma tunamaini bado lipo
Theonestina
Safi
Sadick
Tuchel yupo katika wakati mgumu baada ya Timu yake kupoteza mechi mbili za awali na Mbappe ndio Muhimili wake#meridianbettz
Khadija
Asamte kwa makala#meridianbettz
Amiri Kayera
Nachoisi moral ya team imeshuka
Agness
Nihabari njema
Aziza mushi
Habari njema
Sabrina
Mbappe mtu makini lazima kocha awe na matumaini nae anajituma akiwa dimbani
Shafii
Hii habari njema kwa PSG.
David Pere
Habar njema sana kwa mashabiki wa PSG kurud kwa mbappe maana kulikuwa na pengo kubwa sana
Rose kapinga
Rudi nyumbani mbappe
Elika
Safi sana mbappe
magdalena
PSG wamefanya jambo jema sana juu ya kumnasa mbappe yupo makini sana
Genia Sikaluzwe
Saf Sana mbappe
Njiku
Corona sio poa
Latifa juma mohamed
Kulikuw na pengo kubwa Sana ni njema kurejea kwa mbappe.
Saupha mohamed
Safi sana
Hopemwaikuka
🙌
Issa
Corona shida
Salma ngende
Vizuri