Mchezaji wa Brooklyn Nets- Kevin Durant yupo tayari kurejea uwanjani Jumapili hii dhidi ya Oklahoma City Thunder.
Kevin Durant alikosekana kwenye michezo 3 mfululizo kutokana na taratibu za kujilinda na COVID19, KD aliukosa msimu wa 2019/20 kutokana na majeruhi na alirejea tena uwanjani msimu huu.
Licha ya KD kurejea uwanjani, kikosi cha Nets kitamkosa Kyrie Irving ambaye ameshakosekana kwenye michezo miwili iliyopita kwa sababu zake binafsi.
MERIDIANBET INAKUPA NAFASI YA KUWA MILIONEA KWA KILA BAADA YA DAKIKA 5
Mchezo wa Keno unakupatia fursa ya kuibuka kidedea kupitia droo zinazochezwa kila baada ya dakika 5 tu!! Tunaposema Meridianbet ni nyumba ya mabingwa, tunamaanisha!!
warda
Bora alivyojikinga karudi na nguvu zaidi
Rahmal
Kalibu sana
Shakila mrope
Habari njema
Adelta
Ni vizuri mashabiki tumemisi kuona maajabu yake
Sania
Kinga ni bora kuliko tiba,karibu mchezoni
Magdalena
Safi Sana karibu tena dimbani
Sarah
Habari nzuri
Angelina
Goodnews
Dorophina
Habari njema kwa mashabiki wa kevin
Gabriel
Habar njema sana
aisha
Safi sana
Hopemwaikuka
Gud to hear this
Ernest Kimeru
Namkubali sana Durant
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri sana
Saupha mohamed
Safi
Sabrina
Safi Sana