Ikiwa ni michezo mitatu tu imeshachezwa kwenye NBA msimu huu. LA Clippers wameshaweka rekodi kwenye ligi hiyo.
LA Clippers walijikuta wakizidiwa pointi 50 katika kipindi cha kwanza walipochuana na Dallas Mavericks. Hizi ni pointi nyingi kupatikana kwenye kipindi cha kwanza katika michezo ya NBA.

Clippers walipigwa kwa pointi 77-27 katika kipindi cha kwanza, tofauti ya pointi 50 ni kubwa sana tangu kuanza kwa mfumo wa kufupisha dakika za vipindi kwenye michezo ya NBA katikati ya miaka ya 1950.
Luka Doncic ameendela kuwa shujaa wa Mavericks baada ya kupachika pointi 24, alitoa pasi 8 za magoli na kucheza mipira 9 iliyokufa.
VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini???



Adelta
Good news NBA
Sarah
Habari nzuri
Chiku
Wanajua wanacho kifanya
Shakila mrope
Habri nzuri asant meridian bert
Tatu
Good news
Mwanahamisi
Habari njema
Dorophina
Pongezi kwao
Rahmal
Hongera kwao
Hopemwaikuka
Wametishaa sana
Angelina
Goodnews
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri sana
Issa
Rekod saad
warda
Imekaa poa sana