Hatimaye Kell Brook na Amir Khan Kuzichapa 2022

Amir Khan na Kell Brook mbioni kupambana katika pambano kati ya mabingwa wawili wa zamani wa Uingereza mwezi Februari 19 mwaka ujao 2022.

Hatimaye Kell Brook na Amir Khan Kuzichapa 2022

Wawili hao watazichapa katika uwanja wa Manchester Arena baada ya pambano kuafikiwa na pande zote baada ya miaka mingi ya mazungumzo ambayo hayakuzaa matunda.

Brook, ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 35, alipoteza katika raundi ya nne kwa Terence Crawford wa Marekani katika pambano lake la mwisho mwaka mmoja uliopita.

Kell Brook Alisema: “Kila mara alijitenga, hajawahi kunipa heshima, hajawahi kunitambua.

“Imefikia sehemu ya kazi yake ambapo hakuna mahali pengine pa yeye kukimbia. Nimeitaka kwa miaka mingi.”

Hatimaye Kell Brook na Amir Khan Kuzichapa 2022

Mechi ya mwisho ya bingwa wa WBA uzito wa light-welterweight Khan, mwezi Julai 2019, iliishia kwa ushindi wa pointi dhidi ya Billy Dib wa Australia.

Mpiganaji huyo wa Bolton, ambaye ameshinda mapambano 34 kati ya 39 ya kitaaluma, alisema: “Katika miaka 10 iliyopita nimepigana wapiganaji wawili bora zaidi wa pauni kwa pauni.

“Sijawahi kukimbia kumkimbia Kell. Sijawahi kuhitaji. Nilichopata kinajieleza chenyewe.

“Hakuna haja ya kulia juu ya siku za nyuma. Hapo awali hakustahili pambano hili.


MUDA WA KUJIACHIA NA CARNAVAL JACKPOT

Mabingwa Meridianbet hawajawahi kukuacha mnyonge hasa katika kipindi hiki cha msimu wa sikukuu, kasino maridhawa ya Carnaval Jackpot inakupa thamani ya dau lako. Kuwa mmoja wa washindi leo hii.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.