Mayweather Anataka Kumsaini Terence Crawford

Bondia mkongwe Floyd Mayweather amefunguka kiu yake ya kutaka kumsajili bondia huru  Terence Crawford baada ya mwanamasumbwi huyo kumaliza kandarasi yake na Top Rank mwaka uliyopita.

Mayweather Anataka Kumsaini Terence Crawford

Akiongea na Ben Thompson Mayweather alizungumzia kuhusu kutaka kumshika mkono Mmarekani mweusi mwenzake.

Alisemea: “Hakuna tofauti Mchina anamsaidia mchina, Wadominiki wanasaidia Wadominiki, Wamexico kwa Wamexico mimi ni Mmarekani mweusi ningependa kusaini Wamarekani Weusi kwanza nimekuwa nikimuhitaji bondia machachari Terence Crawford.

“Tumeongea kwenye hafla kadhaa tunaongea pia kwenye simu kila mtu ana namba ya mwenzake. Nimeongelea kuhusu Crawford kupata mapambano anayoyataka”.


VUNA MKWANJA NA AVIATOR

Maana halisi ya ushindi mkubwa unaipata katika kasino ya mtandaoni ya Aviator kutoka meridianbettz. Andaa kapu la ushindi wa mkwanja na beti kibao za BUREEE.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

SOMA ZAIDI

Acha ujumbe