Yanga Yatembelea Shule ya Jangwani

KUELEKEA siku ya kilele cha wiki ya Mwananchi, Uongozi wa Yanga umetembelea shule ya Sekondari ya wasichana Jangwani na kukabidhi zawadi mbalimbali.

Hiyo ni moja kati ya ratiba zilizopo ikiwa ni kuelekea siku ya kilele cha wiki ya Mwananchi ambayo itafanyika Agosti 6 mwaka huu.

Akizungumzia hilo, Rais wa klabu ya Yanga, Eng. Hersi Said amesema kuwa hiyo ni moja ya shamra shamra kuelekea katika kilele cha wiki ya mwananchi.

“Tumefurahi sana kuwa hapa Jangwani na tunaona asilimia kubwa ya wanafunzi wa hapa ni mashabiki wetu hivyo muendelee kutusapoti na sisi tupo nanyi.

“Hizi ni shamra shamra kuelekea siku ya kilele cha wiki ya mwananchi hivyo kuna mambo mengine yataendelea kufanyika kuelekea huko.”

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.