Walioingia na Waliotoka EPL, Januari
Hadi sasa kuna klabu ambazo zimetumia dirisha la usajili kuimarisha vikosi vyao, kwa kurudisha wachezaji wao waliokuwa kwa mkopo katika klabu nyingine na klabu nyingine zikiuza wachezaji wao ambao kwa …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Hadi sasa kuna klabu ambazo zimetumia dirisha la usajili kuimarisha vikosi vyao, kwa kurudisha wachezaji wao waliokuwa kwa mkopo katika klabu nyingine na klabu nyingine zikiuza wachezaji wao ambao kwa …
Baada ya kuwa na mchezo mgumu hapo jana ambao wengi waliona mchezo huo unaweza kuisha kwa Burnley kuondoka na alama zote tatu pale Old Trafford, mambo yakidhihirika wazi kwamba mpira …
Kutua kwa nyota huyo kunakuwa mwiba kwa wachezaji waliokuwepo kikosini hapo hadi sasa. Kama ilivyokkwisha tokea kwa Morata ambaye amesaini kuwachezea Atletico kwa mkopo kwa kipindi cha miezi 18; sasa …
Mchezaji huyo wa tenisi raia wa Japan alishinda taji lake la Australian Open na kumwacha mpinzani wake Petra akitoa machozi baada ya kulikosa tajji hilo katika mazingira ambayo yeye mwenyewe …
Marko Arnautovic asaini kuendelea kuwatumikia West ham kwa kipindi kingine pamoja na kupata ofa kubwa ambayo yeye anaiita yenye majaribu makubwa kuweza kutimkia China. Aliweza kuhusishwa kujiunga na klabu mbili …
Kuna wakati timu inaweza ikawa bora lakini kama itakosa wazuiaji wa mipira bora katika milingoti miwili iliyosimama huweza kuwa ni tatizo kubwa zaidi litakaloifanya klabu husika kupoteza uimara wake. Hapa …
Kuna wakati katika soka wachezaji kadhaa hutokea kuwika sana katika vikosi vyao na kupelekea mashabiki kushindanisha mafanikio yao hwanjani ha baadae huenda mbali sana hata nje ya uwanja pia. Messi …
Monaco: Henry Ameongoza Gemu 20 tu kisha ametimuliwa! Klabu ya Monaco imemtimua aliyekuwa meneja wa klabu hiyo ambaye aliwahi kuwa msakata kabumbu maridadi wa enzi zake Thierry Henry. Monaco ambao …
Duniani kuna aina fulani ya wachezaji ikitokea kuna mmoja wapo unamchukia yupo mwingine ambaye kwa namna youote ile lazima umpende. Hii ni kutokana na ushindani, uwezo au kuna wakati aliwahi …
Kuna wakati mchezaji anaweza kusajiliwa katika kikosi cha klabu fulani kwa malengo ya kufanya vizuri katika kikosi husika au kukiwa na lengo kwamba yale aliyokuwa anayafanya upande wa kwanza yatakuwa …
Kuna baadhi ya wachezaji walio na umri wa chini ya miaka 23 wanaofanya mambo makubwa sana katika umri wao. Baadhi ya wachezaji hao wamekuwa nguzo kubwa katika ngazi ya klabu …
Mchezaji huyo kwa sasa amefanikiwa kubadilika kwa kiwango kikubwa sana tofauti na alivyokuwa mwanzoni, pongezi nyingi zimfikie Ole ambaye kwa nafasi yake anefanikiwa kymtengeneza na amejua namna ya kumtumia mvhezaji …
Cole [38] anaonekana kutaka kuungana na mchezaji mwenzake wa kipindi cha nyuma Lampard katika klabu ya Chelsea. Wachezaji hao waliachana kwa kitambo kidogo baada ya kustaafu soka la ushindani pale …
Klabu ya Tottenham imefanikiwa kuibuka na ushindi mnono unaowafanya waendelee kujizatiti kileleni mwa ligi hiyo hadi sasa kwa kuweza kuwapiga Fulham 2-1; ushindi unaowafanya wakae vizuri katika nafasi yao ya …
Mchezaji Philippe Coutinho hali yake katika klabu ya Barcelona ipo katika hali ambayo haieleweki. Hii ni baada ya maisha yake ya kisoka ndani ya klabu hiyo kwenda nje ya kile …
Ferenc Puskas and Alfredo Di Stefano (Real Madrid), hawa ndio historia ya Madrid ya sasa kwa makubwa waliyoyafanya miaka ya 1950 hadi 1960, waliponyanyua ndoo ya klabu bingwa mara tano …
Hapo awali Cameroon walipewa nafasi ya kuandaa fainali za michuano hiyo mikubwa na ya aina yake Afrika, lakini kutokana na sababu mbalimbali wameweza kupokwa nafasi hiyo; huku Misri akipewa ripoti …
Sevilla wanaripotiwa kuvutiwa na nyota wa chelsea Alvaro Morata, lakini kuna ugumu uliopo katika jitihada za kuinasa saini yake klabuni hapo. Klabu hii ilitaka kumpata nyota huyu kwa mkopo kwa …
Dirisha dogo la usajili limefunguliwa leo huku kukiwa na majina ya wachezaji yanayotazamwa kwa jicho la pekee kutoka ligi mbalimbali duniani. Baadhi ya wachezaji wanalazimisha kuzihama klabu zao wakiwa na …
Wahenga husema ‘kizuri siku zote hurushiwa kila aina ya uchafu’. Kauli hii inakuja kutokana na kile kinachodaiwa kwamba kwa asilimia kubwa wakongwe wengi wa mpira wa kikapu hawapendezwi na kitendo …