Aminata Diallo Atoka Mikononi mwa Polisi
Kiungo wa kati wa Paris Saint-Germain Aminata Diallo aliachiliwa kutoka mikononi mwa polisi siku ya Alhamisi, baada ya kukamatwa baada ya madai ya kushambuliwa kwa mmoja wa wachezaji wenzake. Polisi …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Kiungo wa kati wa Paris Saint-Germain Aminata Diallo aliachiliwa kutoka mikononi mwa polisi siku ya Alhamisi, baada ya kukamatwa baada ya madai ya kushambuliwa kwa mmoja wa wachezaji wenzake. Polisi …
Klabu ya Polisi Tanzania imeingia makubalianano ya mwaka mmoja na kampuni ya Vunja Bei kwa ajili ya kutengeneza jezi zao za msimu huu. Makamu Mwenyekiti wa Polisi, Robert Munis …
Kaimu Kocha Mkuu wa Simba SC, Hitimana Thierry, amesema timu hiyo ilicheza kwa presha katika mchezo wa jana dhidi ya Polisi Tanzania lakini kupata alama tatu muhimu lilikua jambo …
Polisi kufanya uchunguzi baada ya mashabiki wa klabu ya Crystal Palace kuonesha bango wakiwakosoa wamiliki wapya wa klabu ya Newcastle United wanaotoka Saudi Arabia. Newcastle United hivi karibuni iliuzwa na …
Klabu ya Polisi Tanzania imepata ajali leo asubuhi wakati ikitoka mazoezini kurejea kambini huko Moshi mkoani Kilimanjaro. Kwa mujibu wa shuhuda [hakutaka jina lake litajwe] ameeleza kuwa, gari liliacha barabara …
Polisi wa Merseyside waachunguza baada ya ujumbe wa vitisho kutundikwa karibu na nyumba ya meneja mpya wa Everton Rafael Benitez. Benitez ndiye kipenzi cha nguvu kuchukua nafasi ya ukufunzi huko …
Baada ya Polisi Tanzania kuamishia mechi yao dhidi ya Simba katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, Uongozi wa timu hiyo umeweka wazi kuwa haufuati pesa jijini humo bali …
Ikiwa imesalia siku moja Kikosi cha Simba kuvaana na Yanga, Jeshi Polisi Kanda Maalumu ya Dar, kwa kushirikiana na vyombo vingine vhya ulinzi na usalama limejipanga kuimarisha ulinzi katika mchezo …
Rais wa zamani wa Barcelona Josep Maria Bartomeu amekamatwa kama sehemu ya uchunguzi mpya wa ‘Barcagate’ huko Camp Nou, Vyombo vya habari vyathibitisha. Cadena SER alitoa habari Jumatatu kwamba washiriki …
Idadi kubwa ya mashabiki wa Liverpool walijitokeza kushangilia ushindi wa taji la Ligi Kuu baada ya kusubiri kwa miaka 30. Polisi walilazimika kuwatia nguvuni mashabiki 10. Licha ya kuendelea kuwepo …
Mshambuliaji wa Argentina Angel Di Maria alipokea tishio nyumbani kwake na familia yake katika maeneo ya pembeni ya Mji wa Rosario alfajiri ya Jumatatu, vyombo vya habari vya eneo hilo …
Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba Ahmed Ally ameweka wazi kuwa wanatambua ugumu uliopo kwenye mashindano wanayocheza lakini wapo tayari kuona kwamba wanashinda mchezo huo ambao ni muhimu …
MATAJIRI wa Dar, Azam FC wanaingia kàtika orodha ya timu ambazo zimepata ushindi mkubwa katika mechi za Azam Sports Federation ikiwa ni raundi ya tatu. Ubao wa Uwanja wa Azam …
Ofisa Habari wa Klabu ya Yanga, Ally Kamwe ameweka wazi kuwa kuelekea mchezo wao wa kesho dhidi ya CR Belouizdad wa Ligi ya Mabingwa Afrika ni Zawadi Mauya pekee ndio …
Klabu ya Namungo imemtambulisha Mwinyi Zahera kuwa kocha mkuu wa timu hiyo, Baada ya aliyekuwa Kocha wa Timu hiyo Denis Kitambi kutimkia Geita Gold FC. Namungo kutokea mkoani Lindi, imemchukua …
Mabingwa Watetezi Yanga SC watafungua msimu mpya wa michuano ya Azam Sports Federation kwa kucheza dhidi ya Hauling FC kutoka Njombe, Simba yeye atakipiga dhidi ya Tembo FC kutoka Tabora. …
NYOTA Gerald Mdamu aliyewahi kukipiga ndani ya Polisi Tanzania bado anapambania hali yake ili kurejea kwenye ubora wake mdogomdogo baada ya kuumia mguu walipopata ajali ya gari wakitokea mazoezini. Julai …
Baba wa mshambuliaji wa klabu ya Liverpool Luiz Diaz ameachiwa baada ya kushikiliwa na vikundi vya kihalifu huko nchini Colombia kwa takribani siku kumi na mbili. Baba wa Luiz Diaz …
Winga wa klabu ya Liverpool raia wa kimataifa wa Colombia Luiz Diaz atakosekana tena leo katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza kati ya klabu yake dhidi ya Nottingham Forest. …
Huku Sandro Tonali na Nicolò Zaniolo wakirudishwa nyumbani baada ya kuchunguzwa katika kashfa ya kamari, Italia imemtaja Samuele Ricci kama mbadala wake na itaongeza mwingine pia. The Azzurri wanatarajiwa …