fa - matokeo ya utafutaji

Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena

Mwanaspoti wa Kike Tajiri Zaidi

Football

Serena williams anachukua nafasi ya kwanza kwa wanaspoti wa kike wenye utajiri zaidi. Serena Williams ambaye ni bingwa mara 23 wa Grand Slam anaripotiwa  kuwa wa kwanza kwa mastaa wa …

Karius Katika Mazungumzo Kuhamia Besiktas

Football

Wakati Besiktas wakiwa wanamuhitaji golia Loris Karius, boss wa Liverpool yuko tayari kumuacha golia huyo aondoke katika timu hiyo. Wakali hawa Besiktas kutoka uturuki wako katika mazungumzo ya kumnasa golia …

Man U: Zinedine Zidane Anambadili Mourinho?

Football

Kulikuwa na tetesi za chini chini kuwa huenda Zinedine Zidane akawa anaongoza katika orodha ambayo makamu mwenyekiti bwana Ed Woodward anaifikiria kumbadili Mourinho. ripoti hizi zinahusisha kufanya vibaya katika mechi …

Barca: Hatuna Mazungumzo Kumuuza Rakitic

Football

Paris Saint-German wanamtamani mchezaji wa Barcelona bwana Ivan Rakitic lakini Barcelona kwa sasa hawataki kufanya mazungumzo juu ya kumuuza mchezaji huyo ambaye PSG wameonyesha kumuhitaji wakati thamani yake kwa sasa …

Sanchez: Sajilini Wachezaji Wakubwa

Football

Mchezaji winga wa klabu ya Manchester United, Alexis Sanchez ameitaka klabu yake hiyo kufanya sajili za wachezaji wakubwa na wenye uzoefu wa soka pekee. Winga huyu ametoa msisitizo kuwa Manchester …

Ujerumani Inamngoja Luke Shaw!

Football

Luke Shaw ambaye ni mchezaji wa safu ya ulinzi akiwa na umri wa miaka 23 kwa sasa anafurahia sana kuuona mwaka wake wa mwisho wa mkataba wake klabuni Manchester United. …

Messi Kuungana na Samatta

Football

Mchezaji mshambuliaji wa Tanzania na KRC Genk, Mbwana Ally Samatta yupo katika majadiliano na Levante ya huko Ligi Kuu ya Hispania ili kuona namna wanavyoweza kukamilisha mpango wa yeye kuhamia …

Henry Kutia Maguu Uingereza

Football

Mchezaji mshambuliaji wa kitambo klabuni Arsenal, Thierry Henry aliyepo kwenye kikosi cha ukocha wa taifa la Ubelgiji amekubali kwa maneno kuchukua uongozi wa Aston Villa ya Uingereza. Inadaiwa kuwa anaenda …

Waturuki Kumnasa wa Uingereza?

Football

Klabu ya Uturuki, Fenerbahce imewasilisha maombi ya kumfanyia usajili mchezaji mshambuliaji wa klabu ya EPL Ligi Kuu ya Uingereza, Tottenham na Uholanzi, Vincent Janssen. Janssen ana umri wa miaka 24 …

Ipswich Nao Wamo!

Football

Daily Star wanaweka wazi kuwa Sheffield United wamewasilisha maombi ambayo yamevunja rekodi kwa £5m kwa ajili ya mshambuliaji wa Uingereza, Martyn Waghorn. Mshambuliaji huyu ana umri wa miaka 28 kwa …

Napoli Walishamuwinda Ronaldo

Football

Aurelio de Laurentiis ambaye ni Rais wa Napoli amesema kuwa timu yake ya Serie A ilipendezwa sana na huduma ya Cristiano Ronaldo kabla ya mchezaji huyu wa Ureno kujiunga na …

Usajili wa Newcastle na Sekeseke Zao

Bundesliga

Klabu mbili za soka, Newcastle United na Tottenham zinaonekana zitakuja kumkosa kabisa mchezaji mshambuliaji wa klabu ya Nice na Ufaransa, Alassane Plea wakati ambao msakata kabumbu huyo ambaye ana umri …

Wanaowindwa na Liverpool

Football

Moja ya klabu kongwe Ligi Kuu ya Uingereza, Liverpool ipo katika tafakuri juu ya kumnunua msakata kabumbu Grzegorz Krychowiak wa huko Poland. Mchezaji huyo kiungo wa kati ana miaka 28 …

Juventus Wamnasa Ronaldo!

Football

Staa wa Ureno, Cristiano Ronaldo amesaini mkataba wa miaka minne na klabu ya Juventus ya huko Italia ambapo dau lake ni la dunia nzima! Mwanzo kabisa dau kubwa la fedha …

1 2 3 980 981 982 983 984 985 986