Mwanaspoti wa Kike Tajiri Zaidi
Serena williams anachukua nafasi ya kwanza kwa wanaspoti wa kike wenye utajiri zaidi. Serena Williams ambaye ni bingwa mara 23 wa Grand Slam anaripotiwa kuwa wa kwanza kwa mastaa wa …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Serena williams anachukua nafasi ya kwanza kwa wanaspoti wa kike wenye utajiri zaidi. Serena Williams ambaye ni bingwa mara 23 wa Grand Slam anaripotiwa kuwa wa kwanza kwa mastaa wa …
Wakati Besiktas wakiwa wanamuhitaji golia Loris Karius, boss wa Liverpool yuko tayari kumuacha golia huyo aondoke katika timu hiyo. Wakali hawa Besiktas kutoka uturuki wako katika mazungumzo ya kumnasa golia …
Golia wa Man City Claudio Bravo amepata jeraha kwenye mguu akiwa mazoezini jumatatu ambalo limekuwa kikwazo kwa timu hiyo kutokana na umuhimu wake. Golia huyo mwenye umri wa miaka 35 …
Kulikuwa na tetesi za chini chini kuwa huenda Zinedine Zidane akawa anaongoza katika orodha ambayo makamu mwenyekiti bwana Ed Woodward anaifikiria kumbadili Mourinho. ripoti hizi zinahusisha kufanya vibaya katika mechi …
Paris Saint-German wanamtamani mchezaji wa Barcelona bwana Ivan Rakitic lakini Barcelona kwa sasa hawataki kufanya mazungumzo juu ya kumuuza mchezaji huyo ambaye PSG wameonyesha kumuhitaji wakati thamani yake kwa sasa …
Tottenham Hotspur wametangaza rasmi kuwa gemu yao ya mwanzo Katika ligi ya mabingwa ulaya itafanyika katika uwanja wa Wembley kufuatia mazungumzo baina yao na UEFA kukamilika. Mwazoni klabu hiyo ilidai …
Ilikuwa kama utani pale klabu ya Liverpool ilipoonesha kuwa tofauti sana na huku kwetu mara baada ya kumshitaki mshambuliaji wake, Mohamed Salah baada ya kuendesha gari wakati anachati kwa simu …
Mchezaji winga wa klabu ya Manchester United, Alexis Sanchez ameitaka klabu yake hiyo kufanya sajili za wachezaji wakubwa na wenye uzoefu wa soka pekee. Winga huyu ametoa msisitizo kuwa Manchester …
Hapo jana Sergio Aguero aliweza kupachika magoli mawili ambayo yalikuwa ni ya 200 na 201 kwake ndani ya kikosi cha klabu ya soka ya Manchester City na ikawa ni msaada …
Luke Shaw ambaye ni mchezaji wa safu ya ulinzi akiwa na umri wa miaka 23 kwa sasa anafurahia sana kuuona mwaka wake wa mwisho wa mkataba wake klabuni Manchester United. …
Mchezaji mshambuliaji wa Tanzania na KRC Genk, Mbwana Ally Samatta yupo katika majadiliano na Levante ya huko Ligi Kuu ya Hispania ili kuona namna wanavyoweza kukamilisha mpango wa yeye kuhamia …
Mchezaji mshambuliaji wa kitambo klabuni Arsenal, Thierry Henry aliyepo kwenye kikosi cha ukocha wa taifa la Ubelgiji amekubali kwa maneno kuchukua uongozi wa Aston Villa ya Uingereza. Inadaiwa kuwa anaenda …
Klabu ya Uturuki, Fenerbahce imewasilisha maombi ya kumfanyia usajili mchezaji mshambuliaji wa klabu ya EPL Ligi Kuu ya Uingereza, Tottenham na Uholanzi, Vincent Janssen. Janssen ana umri wa miaka 24 …
Klabu ya Chelsea inatafakari juu ya wao kukubali kumpiga bei mchezaji kiungo wao wa kati wa huko Brazil, Willian kwa dau linalotajwa kuwa ni £65m kwenda Barcelona ya huko Hispania. …
Msakata kabumbu Mesut Ozil amejitoa kucheza kwenye timu ya taifa ya Ujerumani! Anasema kuwa yeye amestaafu kwa sababu ya ubaguzi wa rangi na dharau kutoka kwa Chama cha Soka Ujerumani …
Daily Star wanaweka wazi kuwa Sheffield United wamewasilisha maombi ambayo yamevunja rekodi kwa £5m kwa ajili ya mshambuliaji wa Uingereza, Martyn Waghorn. Mshambuliaji huyu ana umri wa miaka 28 kwa …
Aurelio de Laurentiis ambaye ni Rais wa Napoli amesema kuwa timu yake ya Serie A ilipendezwa sana na huduma ya Cristiano Ronaldo kabla ya mchezaji huyu wa Ureno kujiunga na …
Klabu mbili za soka, Newcastle United na Tottenham zinaonekana zitakuja kumkosa kabisa mchezaji mshambuliaji wa klabu ya Nice na Ufaransa, Alassane Plea wakati ambao msakata kabumbu huyo ambaye ana umri …
Moja ya klabu kongwe Ligi Kuu ya Uingereza, Liverpool ipo katika tafakuri juu ya kumnunua msakata kabumbu Grzegorz Krychowiak wa huko Poland. Mchezaji huyo kiungo wa kati ana miaka 28 …
Staa wa Ureno, Cristiano Ronaldo amesaini mkataba wa miaka minne na klabu ya Juventus ya huko Italia ambapo dau lake ni la dunia nzima! Mwanzo kabisa dau kubwa la fedha …