fa - matokeo ya utafutaji

Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena

Liverpool Kudumu na Karius

Football

Endapo ulitegemea kwamba golikipa wa klabu ya soka ya Liverpool, Loris Karius atakaa benchi au kuondoka kabisa klabuni pale basi sahau kabisa kuhusu hilo. Kwa mujibu wa ripoti kutoka vyanzo …

PSG Wanamtazamia Kante

Football

Inadaiwa kwamba klabu ya huko Ufaransa ya Paris St-Germain ina lengo la kumnasa mchezaji kiungo wa kati wa nchini Ufaransa na Chelsea, N’Golo Kante. Wanamtaka msimu huu ambapo inasemekana kwamba …

Usajili wa Chelsea

Football

Wanabluu wa Chelsea wapo tayari kufanya majadiliano ili waweze kubadilishana mshambuliaji Alvaro Morata wa Hispania. Wanataka mchezaji huyu mwenye umri wa miaka 25 arejee klabuni kwake kwa zamani Juventus. Ikiwa …

Sweden Watamtoa Switzerland Leo?

Football

Hatutegemei kwamba kocha Vladimir Petkovic akiwa na mchezaji wake staa Xherdan Shaqiri wataruhusu kuchezea kichapo mbele ya Sweden hatua ya mtoano ya Kombe la Dunia mwaka huu 2018 inayoendelea kule …

Fellaini Kusalia Manchester United

Football

Mchezaji Marouane Feallain ambaye ni kiungo wa klabu ya soka ya Manchester United ameongeza mkataba wake kwa muda wa miaka miwili ili kuendelea kucheza klabuni hapo. Hapo mwanzo ilielezwa kuwa …

Iran Atachomoka kwa Ureno Leo?

Football

Uwanjani leo kuna jumla ya mechi nne kwenye Kombe la Dunia na kocha Carlos Queiroz atakuwa akikiongoza kikosi chake katika kusaka taji hilo na mechi yao leo ni dhidi ya …

Eriksen Anaibeba Denmark Leo

Football

Hii inakuja ikiwa ni baada ya wao kukosa kupenya mwaka 2014 ambapo sasa timu ya taifa ya Denmark inakwaana na mataifa kadhaa kuhakikisha wanafanikiwa kwenye Kombe la Dunia. Mchezaji Eriksen …

Tunisia Wataitetemesha Uingereza?

Football

Nabil Maaloul ambaye ni kocha wa taifa la Tunisia anakiongoza kikosi chake kuwinda taji la Kombe la Dunia leo hii! Ikiwa ni mara baada ya wao kuonekana kwenye fainali 3 …

Gotze Kutia Maguu Arsenal?

Bundesliga

The Mirror wanaripoti kuwa klabu ya Washika Mitutu wa Arsenal wanalo lengo la kumfanyia usajili mchezaji nafasi ya kiungo wa kati wa Borussia Dortmund, Mario Gotze wa Ujerumani. Kiungo huyu …

Tabarez Ataiongoza Vyema Uruguay?

Football

Kocha mkuu wa taifa la Uruguay, Oscar Tabarez anakiongoza kikosi chake leo ikiwa ni baada ya kampeni ya mwisho ya Uruguay kwenye Kombe la Dunia iliyoshuhudiwa Suarez akimng’ata Giorgio Chiellini! …

Kombe la Dunia: Kikosi cha Brazil Hiki Hapa

Football

Hiki hapa ni kikosi kamili cha Brazil kuelekea Kombe la Dunia mwaka huu kule nchini Urusi: Walinda lango: Alisson (Roma), Ederson (Manchester City), Cassio (Corinthians). Mabeki: Danilo (Manchester City), Fagner …

Benitez Kuungana na Skrtel

Football

Inadaiwa kwamba mkufunzi wa klabu ya soka ya Newcastle, Rafael Benitez anahitaji kuungana tena na msakata kandanda Martin Skrtel ambaye ni beki wa zamani wa klabu ya Liverpool siku za …

Hofu ya Mourinho kwa Gareth Bale

Football

Kwa mujibu wa chanzo cha habari za michezo cha Daily Express inadaiwa kwamba meneja wa Manchester United, Jose Mourinho ana hofu juu ya ushindani wa malipo ya kifedha kwenye usajili …

1 2 3 981 982 983 984 985 986