Mipango ya Dodoma Jiji hii hapa

BAADA ya kuwatambulisha nyota wao watano, Uongozi wa Dodoma Jiji umeweka mikakati ya kumaliza ligi katika nafasi tano za juu kwenye msimamo wa ligi.

Nyota hao waliosajiliwa mpaka sasa ni Collins Opare, Christian Nziga, Randy Bangala, Paul Peter, na Aman Kiyata.

Akizungumzia hilo, Mwenyekiti wa kamati ya Usajili wa Dodoma Jiji, Fredrick Mwakisambwe alisema kuwa “Tumefanikiwa kunasa saini za wachezaji ambao wataongeza nguvu kwenye kikosi chetu na watano tumewatangaza tayari.

“Malengo yetu tuliyojiwekea kwa msimu ujao ni kumaliza kwenye nafasi tano za juu na katika kutimiza hayo tunatarajia kuanza kambi yetu Julai 15 mwaka huu.”

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.