Raúl Jiménez (alizaliwa 5 mei 1991) ni mchezaji wa soka wa Mexico ambaye anacheza kama mshambuliaji wa klabu ya Uingereza Wolverhampton Wanderers, kwa mkopo kutoka Benfica, na wa timu ya taifa ya Mexico.
Raul amefunga bao lake la 14 siku ya Jumamosi Wolves walipochezana dhidi ya West Ham United na kuivunja rekodi iliyokuwa inashikiliwa na Javier Hernandez na kuwa Mmexico aliye tupia wavuni goli nyingi kwa msimu mmoja katika ligi ya EPL
Alianza kazi yake katika mfumo wa vijana wa klabu ya América kabla ya kuanza katika msimu wa kwanza mwezi Oktoba 2011. Alishinda michuano yake ya kwanza na América mwaka 2013.
Mnamo mwezi Agosti 2014, Jiménez aliuzwa kwa klabu ya Hispania Atlético Madrid. Ambao walikuwa mabingwa wa ligi. Baada ya msimu mmoja aliuzwa Benfica, ambako pia alishinda mataji mengi ya ligi.
Novemba 24 Jimenez alifunga magoli mawili kwa mara ya kwanza katika ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA) dhidi ya Astana walipo kwenda sare ya 2-2.
Mwaka 2018 alitua Wolverhampton Wanderers kwa mkopo akitokea Benifica kwa uhamisho wa ada ya yuro milioni 3 na kipengele kinacho waruhusu kumnunua moja kwa moja kwa dau la yuro milioni 38 kama wakimtaka.
Mariam mtandama
Duuuh
Elika
Safi sanaaa naimani wote wanafanya vizuri pamoja na kuvunja rekodi hizo
felister
yupo vizuri uyu jamaa
Johnmary joel
Ninamkubali sana ni mchezaji mzuri hongera kwake#meridianbett
Zeiyana
Jimenez mchezaji chipukizi hanaye vutiwa na clabu nyingi
Omary lukumbi
Duu hatar ila chicharito j.harnandez alikua mtu mbaya sana kwenye magoli ya kuvizia ila kwa hii VAR kwel angeweza kutusua maana VAR noma sana
Ernest
Jimenez bado atawika sana msimu huu ndani ya Wolves
Dorophina
Raul yupo vizuri sana anapokuwa uwanjani hataki kufanya makosa kabisa
Caroline
Nimemkumbuka chicharito
Lydia Emmanuel Magoti
Namkubali kinoma huyojamaha chacharito anajua
Ester mmakasa
Ni makala nzuri sana ila sijaielewa.
Samira
Juhudi zake ndio zimemfikisha alipo sasa mpka kufikia hatua ya kuvunja rekodi ya chicharito
Aziza mushi
Namkubali Sana chicharito
Emmy cleopa
Yuko vizur
Genia Sikaluzwe
Jamaa inamkubali yuko vizuri
Rehema
Huyo jamaa namkubali sn
Sadick
Raúl Jiménez ana nafasi ya kufanya vzr zaidi kuisaidia Wolves kumaliza msimu wa pili wakiwa nafasi za juu hadi kucheza Europa league#meridianbettz
Evaluziga
Yuko vizuri uyo jamaa
David Pere
Ashaivunja kikichobakia Sasa ni kuweka yake yeye nao wengine wake waivunje
neema hassan
Raul mchezaji mzuri awapo uwanjan
neema hassan
Raul fundii
Antony Luseno
Chicharito hakuwa mzuri sana labda kutokana alicheza chini ya sir Ferguson ndo maan tukaona ni mzuri
Sylvester
Jimenez mfungaji mzuri kwa sasa na anastahili kuvunja rekodi na mengi magoli bado atafunga,@meridianbettz asante kwa habari nzuri za kimichezo
Njiku
Raul jimenez ni mchezaji mzuri sana upande wangu na anajituma sana licha ya kucheza club ndogo sana kuliko na chichalito aliekipiga man u.pia anauwezo wa kuvanja rekodi hiyo ambaye alieishikilia chichalito coz bado anauwezo wakucheza timu yoyote kubwa na yenye mafanikio pale uingereza na akafanya vizuri zaid ya chichalito
Neema hassan
Raul fundii
Issa
Jimenez ni mfungaji mzuri na bado umri unaruhusu hivyo ataweka rekodi nyingi sana
Kenani
Ametisha zaid
Shafii
Jimenez namkubali analijua goli Sana angepata club yeyote kubwa angefanya mengi makubwa
Devotha
Hongera sana kwake
Magdalena
Jimenez anakuja juu Sana katika soka Hadi inaleta raha kwa sisi mashabiki
Khadija
Jimeneze ni mfungaji mzuri sana bado umri unaruhusu#meridianbettz
isha
Duuh anasitahili pongezi
Hamidu
R. Jimenez ni mshambuaji hodari sana.. Msimu ujao namuona kabisa kwenye club kubwa#meridianbettz
Christopher
Raul Jimenez, jamaa yupo vzr sana muhim wolves wahakikishe wanakaa nae asihame timu atawasaidia
Furahav
Hongera Raul
Theckla
Raul Jimenez ni mchezaji anayejitambua Sana awapo uwanjani
Amani
mchezaji mzuri hongera kwake#meridianbett
Povel
Habar njema
Mwanaidi
Asante kwa makala
Neema
Kijana yuko vzr anastahili pongezi
Hope mwaikuka
Aisee
Sabrina
Maoni:Raul fundii jamaa anajua
Agness
Yupo vizuri namkubali
Frank Patrick
Jamaa analijua goal sana aisee
Amiri Kayera
Anajua Sana kufunga uyu jamaa
Leonard
Raul ni mchezaji mzuri
Edgar
mmh dogo yupo vzr
Ernest
Jimenez bado ananafasi ya kutamba zaidi ndani ya Wolves
Tahiya
Ni mchezaji mzur na tutarajie mazuri mengi kutoka kwake
Latifa juma mohamed
Yupo vzr huyu kiungo
mwakalosi
bado rekodi ya kuwafanga sana Chelsea sasa
Samiah
Nice
Fatuma kasomo
Namkubali yupo vizur
Hilda
Nice
Theonestina
Namkubar yupo vizur
Mwanahamisi
Asante meridian kwa makala
warda
Hongera yake#Meridianbettz
Salma
Anastahili pongezi
Gabriel
Yuko vzur kwa kulinganisha magoli anagol mengi sana ila kumpiku chicharito kwa rekod labda ya magol tu lakin kwa upande wa kiungo mshambuliaji Jimenez amuwez chicharito kwa uwezo uwanjan
Hv nice update 👍
# meridianbet
Asia Abdy
Jamaa fundi sana
Angelina
Fundiii